01
Hatimaye Vybz Kartel aachiwa huru, washabiki wajitokeza gerezani kumpokea
Leo unaweza kuiita sikukuu kwa wapenzi wa muziki wa ‘Dancehall’ ambao kwa asili unatokea Nchi ya Jamaica, ambapo mkali...
24
Aliyehusika mauaji ya Pop Smoke aachiwa huru
Kati ya watuhumiwa wanne walioshitakiwa katika mauaji ya ‘rapa’ wa Marekani J. Christopher Smith maarufu #PopSmoke ameripotiwa kuachiwa huru kutoka jela, baada ya ...
22
Mchekeshaji Eric Omondi aachiwa huru
Baada ya mpenzi wa mchekeshaji Eric Omondi, Lynne Njihia kudai kuwa polisi wamekataa kuhusika na tukio la kumkamata Omondi, hatimaye mchekeshaji huyo ameachiwa huru.Kwa mujibu...
21
Travis Scott aachiwa huru kwa dhamana
Mwanamuziki Travis Scott ameripotiwa kuachiwa huru kwa dhamana, baada ya kukamatwa siku ya Jana Alhamis asubuhi kwa kosa la ulevi kupindukia.Kwa mujibu wa tovuti ya Cnn, Travi...
02
Njiwa aliyedaiwa kuwa jasusi aachiwa huru
Njiwa aliyedaiwa kuwa jasusi (mpelelezi) wa China ameachiwa huru Jumanne Januari 30, baada ya kuzuiliwa na polisi kwa miezi nane. Njiwa huyo alikamatwa karibu na Bandari ya Mu...
18
Schwarzenegger aachiwa
Muigizaji wa filamu kutoka Marekani Arnold Schwarzenegger, ameruhusiwa kupiga mnada saa yake ya gharama nchini Austria, baada ya kutolewa kizuizini katika uwanja wa ndege wa M...
20
Waachiwa huru kupunguza msongamano gerezani
Wafungwa 4068 walioshindwa kulipa faini mbalimbali wameachiwa huru nchini #Nigeria katika mpango wa kupunguza msongamano wa wafungwa Magerezani nchini humo. Waziri wa Mambo ya...
18
Naira Marley na sam waachiwa, kifo cha Mohbad
Jeshi la polisi Logos nchini Nigeria limewaachia huru mwanamuziki Naira Marley na promoter wa muziki Sam Larry, baada ya kutimiza masharti ya dhamana ya Naira milioni 20 ambay...
07
Naira Marley na Sam Larry waachiwa kwa dhamana
Baada ya kukaa kizuizini kwa wiki kadhaa hatimaye mwanamuziki #NairaMarley na ‘promota’ wake #SamLarry wameachiwa kwa dhamana ya N20 milioni ambayo ni zaidi ya tsh...
18
Antonio Brown aachiwa kwa dhamana
Baada ya mchezaji wa zamani wa NFL, Antonio Brown, kukamatwa na kuwekwa jela toka Jumapili ya wiki iliyopita kwa kosa la kutolipa pesa ya matumizi kwa watoto wake, hatimaye am...
28
Wafungwa 100 waachiwa huru, Sudan
Kundi la wanamgambo la Rapid Support Forces (RSF) la nchini Sudan limetangaza kuwaachia huru wafungwa 100 wa vita ikiwa ni sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Eid el Haji. Kund...
15
Aachiwa huru baada ya kukaa gerezani miaka 28
Mwanaume mmoja nchini Marekani aliefahamika kwa jina la Lamar Johnson mwenye umri wa miaka 50 alikaa gerezani kwa takriban miaka 28 kwa mauaji ambayo amekuwa akikana kutenda i...

Latest Post