27
Megan athibitisha ujio wa album yake mpya
Rapper kutoka Marekani #MeganTheeStallion ametangaza ujio wa album yake mpya iitwayo ‘Megani’ inayotarajiwa kutoa siku ya kesho Ijumaa June 28, 2024. Megan amethib...
14
Tyla aachia kionjo cha ngoma yake mpya
Mwanamuziki kutoka South Africa, Tyla ameachia kionjo cha ngoma yake mpya ambayo itakuwa katika album yake inayotarajiwa kutoka Ijumaa ya tarehe 22 mwaka huu.Kupitia ukurasa w...
18
ASAP afunguka kwa mashabiki ujio album mpya ya Rihanna
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #ASAPRock amefunguka mbele ya mashabiki juu ya ujio wa Album mpya ya mpenzi wake #Rihanna baada ya kuulizwa na mashabiki nchini Ufaransa. Kw...
15
Nicki Minaj amkataa Kanye West mapema
Mwanamuziki kutoka nchini #Marekani, #KanyeWest inadaiwa kuwa na mpango wa kuipunguza ‘kolabo’ aliyoifanya na #NickiMinaj katika albumu yake ya ‘VULTURES&rsq...
20
Baba levo: Zuchu ana roho mbaya, Ananiharibia upepo
Ni muda mchache tuu tangu msanii Zuchu kuachia ngoma yake mpya ya ‘Chapati’, msanii mwenzake Baba Levo hakulikalia kimya ametoa ya moyoni huku akimlaumu Zuchu kwa ...
02
Album ya Davido yafikisha streams bilioni 1
Albam ya nyota wa muziki kutoka Nigeria Davido inayoenda kwa jina la ‘Timeless’ imefanikiwa kufikisha streams bilioni 1, kwenye majukwaa makubwa ya kuuza muziki mt...
01
Will Smith alia na wasioangalia filamu yake mpya
Muigizaji maarufu nchini Marekani Will Smith awajia juu waliobeza ujio wake kwenye filamu yake mpya alioipa jina la Emancipation inayotajwa kutofanya vizuri na hiyo inasemekan...

Latest Post