26
Kehlani adai kukosa ‘madili’ kisa Palestina
Mwanamuziki kutoka Marekani, Ashley Parrish, ‘Kehlani’, ameweka wazi kuwa alipata hasara kwa kupoteza fursa za mikataba baada ya kutoa msaada kwa watu wa Palestina...
23
Mashabiki wasusia tamasha, Baada ya mchekeshaji kuongelea vita ya Islael, Palestina
Mchekeshaji kutoka nchini #Marekani, #DaveChappelle amejikuta akiwafukuza mashabiki walio hudhuria katika tamasha lake la vichekes...
19
Mo Salah aomba viongozi kuingilia vita ya Palestina na Israel
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #LiverPool #MoSalah ametoa wito kwa viongozi wote duniani akiwataka kukutana pamoja kutoa msaada wa haraka wakati wa mzozo kati ya Israel na...
18
Vita ya Israel na Palestina yamponza Ghazi
‘Klabu’ ya #Mainz ya nchini Ujerumani, imemsimamisha mchezaji wao, Anwar El Ghazi, baada ya ‘kuposti’ katika #Instastory yake akionesha kuunga mkono Pa...
18
Benzema ahusishwa na ugaidi kisa vita ya palestina na israel
Waziri wa Mambo ya ndani wa nchini Ufaransa, Gerald Darmanin, anamshutumu mchezaji wa ‘klabu’ ya Al-Ittihad ya Uarabuni, Karim Benzema kwa kuwa na uhusiano na kund...
16
Denis: Drake hawezi kutolea maoni vita ya Israel na Palestina
Dennis Graham ambaye ni baba wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani Drake, ameendelea kumkingia kifua mwanaye na kudai kuwa hawezi kuingilia wala kutoa maoni yoyote juu ya vita...
15
Kanye West apitia wakati mgumu kutoa albamu yake
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Kanye West anadaiwa kupata tabu katika harakati zake za kuachia ‘albamu’ yake mpya baada ya ‘lebo’ za muziki nchini ...
12
Kim Kardashian aguswa na vita ya iIrael na Palestina
Baadhi ya ma-star kutoka nchini Marekani wameonekana kuguswa na vita inayoendelea kati ya Israel na Palestina huku baadhi yao wakiungua mkono nchi ya Israel, huku  kwa up...

Latest Post