10
Januari 2024 yavunja rekodi kuwa na joto kali
Kwa mujibu wa ‘Huduma ya Umoja wa Ulaya ya Kubadilisha Tabianchi ya Copernicus’ kufuatiwa na ripoti yake iliyotolewa hivi karibuni imeeleza kuwa Januari 2024 ndiyo...
14
Wachezaji wapigwa na radi, Mechi yaghairishwa
‘Mechi’ kati ya ‘timu’ ya vijana wanawake #InyemeraWFC na #RamburaWFC nchini Rwanda imeghairishwa baada ya radi kupiga katika uwanja wa Gicumbi na kusa...
06
Professor Jay: Siyo mchezo kutoka ICU mzima
Mwanamuziki mkongwe wa #BongoFleva, #ProfessorJay amedai kuwa kipindi alipokuwa mahututi ICU alishuhudia vifo vya wagonjwa wengi sana. Akizungumza na chombo cha habari leo asu...
06
Diamond awapiga chini Burna Boy, Tayler Icu, Asake na Libianca
Mwanamuzi #DiamondPlatnumz awapiku #Asake, #BurnaBoy, #Libianca na #TaylerICU Dj baada ya kushinda tuzo ya msanii bora kutoka Afrika MTV Europe Music Award 2023. Si mara ya kw...
01
Mr ibu afanyiwa upasuaji, Yupo ICU
Baada ya muigizaji kutoka nchini Nigeria Mr Ibu kuomba msaada kupitia mitandao ya kijamii ili aweze kuchangiwa kiasi cha pesa kwa ajili ya matibabu, hatimaye muigizaji huyo ta...
11
Mwanariadha wa zamani apigania maisha yake ICU
Mwanariadha mkongwe wa Olimpiki kutokea nchini Marekani Mary Lou Retton inadaiwa kuwa kwa sasa anapigania maisha yake ICU akishambuliwa kwa ukonjwa wa mapafu (Pneumonia). Inae...
04
Diamond ala sahani moja na Burna Boy, Asake na Tyler Icu, Mtv
Msanii Diamond amechaguliwa kuwania tuzo za MTV Europe Music Awards katika kipengele cha msanii bora Africa. Kupitia ukurasa rasmi wa Instagram wa Mtv wametoa taarifa hiyo kwa...
30
Vinicius kutoka nje ya uwanja
Mchezaji wa #RealMadrid, #ViniciusJunior ameripotiwa atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi kisichopungua miezi miwili baada ya kupata maumivu makali ya misuli. Kwa mujibu wa The A...
30
Madonna atoka ICU
Mwanamuziki na Muigizaji maarufu Marekani, Madonna mwenye umri wa miaka 64 ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya kuwepo kwenye kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU) kwa siku kad...
24
Queen Noveen mwanadada anaeupiga mwingi katika voice over, Marekani
Mara nyingi tunajikuta tukivutiwa na waandaaji wa vipindi mbalimbali vya televisheni na utoaji wa tuzo, lakini je umewahi kujiuliz...
13
Mwanamke aliyefariki azinduka wakati wa kuzikwa
Baadhi ya raia wa Ecuador wameachwa na mshangao baada ya mwanamke aliyetambulika kwa jina la Bella Montoya mwenye umri wa miaka 76 kukutwa akihangaika kuvuta pumzi kwenye jene...

Latest Post