18
Mwandishi wa habari auawa kwa bomu
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Somali TV na muandishi wa habari Abdifatah Moalim Nur "Qeys", amefariki kwa shambulio la bomu alipokuwa kwenye mgahawa wa Blue Sky jijini Mogadishu uli...
10
Atishia kubeba mabomu akiwa juu ya bembea
Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina hadi  sasa, amedakwa na polisi baada ya kuwatishia watu waliokuwa kwenye bembea la Ferris katika hifadhi maarufu ya Santa Monica, ...
10
8 wauawa Syria
Zaidi ya watu 8 wauwawa wakiwemo watoto watatu kwa mabomu yaliyokuwa ndani ya gari katika matukio mawili tofauti kaskazini mwa nchi ya Syria siku ya jumapili. Shirika linalofu...
15
Maafisa wa polisi wanne wauwawa,Kenya
Maafisa wanane wa polisi nchini Kenya wameuwawa wakiwa katika gari lao lililolipuka katika shambulio linaloshukiwa kufanywa na kundi la jihadi lenye makao yake nchini Somalia ...
08
Wanajeshi saba wauwawa baada ya gari kukanyaga bomu
Wanajeshi saba wame uwawa siku ya Jumapili huko Nigeria, baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa ardhini katika eneo la Tillaberi magharibi mwa Nigeria, Gari  lililo...
08
Barabara ya mwendokasi yafungwa kuhofia bomu, Uganda
Polisi nchini Uganda walifunga kwa muda mfupi barabara ya mwendokasi yenye shughuli nyingi zinazounganisha mji mkuu wa Kampala na uwanja wa ndege wa nchi hiyo baada ya hofu ya...
01
Afghanistan, watu 10 wauawa katika shambulio la bomu shule ya kidini
Afisa wa Taliban amesema mlipuko wa bomu uliotokea katika shule ya kidini kaskazini mwa Afghanistan umesababisha vifo vya wanafunz...
14
Sita wafariki kwenye shambulio la bomu Uturuki
Takriban watu sita wameuawa na wengine 81 kujeruhiwa katika mlipuko katika eneo lenye shughuli nyingi katikati mwa Istanbul, mamlaka ya Uturuki imesema. Mlipuko huo ulitokea m...
09
Prof. Jay: Ni muda wa bomu lingine
Msanii wa muziki wa hip hop hapa nchini, uwenda akaachia ngoma mpya kabvla yam waka huu kuisha. Hiyo inakuja baada ya Prof. Jay kuposti  katika ukurasa wake wa Instargram...

Latest Post