Na Stephen Mathias
Ahh!! Wewee Niaje mwanangu karibu katika mwendelezo wa makala zetu mbalimbali zinazokujia kila siku ya Jumanne kwa uzamini wa mtu mnene @steve G.
Ukiw...
Na Aisha Lungato
Staa wa muziki nchini Tanzania Maua Sama amepona maradhi yaliokuwa yakimsumbua kwa muda wa miezi 7.
Staa huyo ameeleza hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram...
Rapa kutoka nchini Marekani Nicki Minaji ameweka wazi kwamba alikuwa na maambukizi ya virusi vya Corona hivi karibuni na kupelekea kutohudhuria kwenye Hafla ya ugawaji T...
“Mimi ni binti mwenye future ambaye siku moja nategemea kuwa mama, kuwa na familia, natakiwa ni work katika misingi mizuri ambayo nimelelewa na fashion ndiyo kazi ...
Staa wa muziki nchini Canada Justin Bieber ameibuka na Tuzo ya msanii bora wa mwaka 2021 katika tuzo za VMAS(video music awards)zilizo fanyika jana.
Vilevile msanii huyo aliba...
“Usiache shule kisa kipaji kwani utajilaumu maisha yako yote elimu ni muhimu sana unaposoma unaweka akiba kama ipo ipo tu jua kuna siku elimu itakutoa kukupeleka mahali ...
Hatarii weuwee!! Jikoni leo kwenye ukurasa wa Nipe Dili nakusogezea upishi wa Makange ya Nyama bhnaa mate hayoo, nadhani utamu wa makange kwa wale waliobahatika kula unafahami...
Ohooo!!! Star wa Muziki hapa nchini Baraka the Prience ametoa taarifa njema kwa mashabiki zake juu ya ujio wa Ep yake mpya ya hivi karibuni.
Kutoka ukurasa wake wa Instagram a...
Habari msomaji wa fashion, ni wiki nyingine tena tunakutaka hapa ni kiamini kuwa u mzima wa afya tele na unaendelea na masomo pamoja na majukumu yako ya kulijenga taifa hili.
...
It’s Friday bhana kama kawaida siku hii huwa tunaruka na zile makala zote za michezo na burudani hususani kwa wasanii chipukizi kutoka vyuo mbalimbali hapa nchini....
Baadhi ya mashabiki wa staa wa filamu nchini, Wema Sepetu wamemjia juu msanii huyo baada ya kufunguka kuwa anapendwa kupiga hasa na mpenzi wake.
Wema amepokea makombora makali...
Ee bwana mara nyingi vijana wengi huingia katika mahusiano na baadae hujihusisha na kitendo cha kujamiana bila kujua jambo hilo lina faida gani kiafya.
Leo katika makala ya af...