28
Saudi Arabia yatangaza kushiriki miss universe 2024 kwa mara ya kwanza
Kwa mara ya kwanza katika historia Saudi Arabia imeripotiwa kushiriki katika shindano la Miss Universe 2024, ikiwakilishwa na Miss...
14
Grammy yatangaza tuzo mpya ya muziki wa Kiafrika
Tuzo kuu za tasnia ya muziki nchini Marekani sasa zitajumuisha kitengo kipya kwa wasanii wa Kiafrika pekee, kuonyesha kimataifa mitindo ya watu wa nyumbani kama vile afrobeats...
15
Peru yatangaza siku 30 za hali ya hatari
Serikali ya Peru imetangaza siku 30 za hali ya hatari nchi nzima. Katika tangazo hilo la jana, Waziri wa Ulinzi Alberto Otarola alisema haki ya kukusanyika, kutoingiliwa majum...
07
China yatangaza kulegeza vizuizi vya Covid nchini
Kutoka nchini China leo imetangaza kulegeza vizuizi vya kitaifa vya Covid kufuatia maandamano ya kupinga mkakati huo mkali ambayo yaligeuka kuwa miito ya kutaka uhuru zaidi wa...
15
Marekani yatangaza zawadi nono kwa taarifa juu ya Al-Shabab
Marekani imesema itatoa zawadi ya hadi dola milioni 10 kwa yeyote ambaye atakuwa na taarifa kuhusu viongozi wakuu wa Al-Shabab.     Wizara ya mambo ya nje ...
11
Berlin yatangaza uwezo wa kupokea wakimbizi umefika kikomo
Mji mkuu wa Ujerumani, Berlin umetangaza kuwa uwezo wake wa kupokea wakimbizi umefika kwenye ukomo. Seneta wa mji huo anayehusika na kuwaingiza wageni katika mji wao, Kat...
25
JKT yatangaza nafasi za kujiunga na mafunzo
Jeshi la kujenga Taifa (JKT) August 25,2022 limetangaza nafasi kwa Vijana wote wa Tanzania Bara na Visiwani kujiunga na na mafunzo ya Jeshi hilo kwa kujitolea kwa mwaka 2022. ...

Latest Post