28
Muanzilishi wa kampuni ya bunduki afariki
Aliyekuwa mfanyabiashara na muanzilishi wa kampuni ya utengenezaji wa bunduki mwenye umri wa miaka 94 kutoka nchini #Austria, Gaston Glock amefariki dunia jana Jumatano, Disem...
29
Wazazi wa Diaz wadaiwa kutekwa
Wazazi wa mchezaji nyota wa ‘klabu’ ya #Liverpool, #LuisDiaz wanadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakati wakiwa kwenye gari kuelekea nyumbani kwao Mjini Barranc...
10
Mwalimu wa Chris ahukumiwa kwa kusafiri na bunduki
Mwalimu wa mcheza ‘boxer’ #ChrisEubank Jr, McIntyre ‘BoMac' ashitakiwa baada ya kukutwa na bunduki katika uwanja wa ndege wa Manchester nchini Uingereza. Ina...
13
Mtoto wa miaka 8 aiba gari kwa kutumia silaha
Mtoto wa miaka nane kutoka Alabama nchini Marekani amekamatwa na Polisi baada ya kuiba gari kwa kutumia bunduki na kuanza kukimbizana na Polisi. Kwa mujibu wa chombo cha habar...
25
Mfuasi wa Trump ahukumiwa miaka 4
Mtu mmoja nchini Marekani alifahamika kwa kwajina Richard Barnett, mwenye umri wa miaka 63, alidaiwa kujiunga na kundi la watu waliovamia majengo ya bunge la nchi hiyo mwaka 2...
17
Watu wanne wauwawa, Nigeria
Watu wenye silaha kali nchini Nigeria wameshambulia msafara wa  magari ya Marekani siku ya jana jumanne katika jimbo la kusini mashariki mwa nchi hiyo eneo la Anambra. Po...
27
Wafugaji wapigwa marufuku kubeba silaha
Rais wa Kenya, William Ruto amesema kuwa wafugaji wa kaskazini hawataruhusiwa tena kubeba silaha wakati wanachunga ng'ombe zao, huku kukiwa na operesheni ya kuwapokonya silaha...

Latest Post