13
Billnass afungukia ishu yake, mkewe na Diamond
Mwanamuziki William Lyimo 'Billnass' amesema kabla ya kwenda kwenye tamasha lolote ambalo atakuwa amealikwa kitu cha kwanza ambacho huwa anaangalia maslahi ya tasnia kabla ya ...
10
D Voice aanza kuwavimbia wenzake
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini D Voice amedai kuwa yeye ndiyo msanii mdogo kutoka Afrika Mashariki anayerekodi video za mkwanja mrefu, huku akiwataka wanaobisha kuonesha mi...
18
Portable amtolea povu Davido
Mwanamuziki wa Nigeria, #Portable, amemtolea povu mkali wa Afrobeat Davido kwa kudai kuwa msanii huyo alimtumia vibaya kwa ajili ya kutafuta umaarufu na kumuacha bila msaada w...
13
‘Royal Tour’ yatajwa kuimarisha biashara ya usafiri wa anga
Filamu ilionesha utamaduni na historia ya kipekee ya Tanzania imetajwa kuimarisha biashara ya anga kwa kufanikiwa kusajili ndege 3...
24
Ruhusa kusafiri na mnyama wako kwenye ndege
Wakati asilimia kubwa ya mashirika ya usafiri wa angani yakipiga marufuku abiria kusafiri na wanyama, shirika la ndege la Marekani BARK Air, limeleta mapinduzi na sasa linamru...
20
Harmonize na rekodi zake mbili kubwa
Staa wa Bongofleva, Harmonize anaenda kuzindua albamu yake ya tano tangu ametoka kimuziki miaka tisa iliyopita, huku rekodi mbili kubwa zikiwa upande wake katika mradi huo ali...
27
Atumia ndege kama usafiri wa kwenda chuo
Mwanafunzi mmoja , aitwaye Tim Chen anayechukua course ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha British Columbia (UBC) kilichopo nchini Canada amekuwa akitumia usafiri wa ndege kwenda ...
13
Mwenye kucha ndefu, Aeleza jinsi anavyojisafisha akienda chooni
#DianaArmstrong ambaye anashikilia rekodi ya dunia ya ‘Guinness World Records’ kwa kuwa mwanamke mwenye kucha ndefu zaidi ameeleza jinsi gani anajisafisha wakati a...
10
Lava Lava atoa shukrani kwa wasanii nje ya wasafi
Mwanamuziki wa bongo fleva nchini Lava Lava ametoa shukrani kwa baadhi ya wasanii ambao wamemtafuta na kumpongeza baada ya kuachia ngoma zake mbili.Lava Lava kupitia ukurasa w...
31
Travis amtunuku mfanya usafi maokoto
Kama ilivyokawaida kwa wasanii kutoka nchini #Marekani kuwathamini mashabiki zao na hii imetokea tena kwa ‘Rapa’ #TravisScott ambapo alitoa pesa kiasi cha dola 5,0...
23
Mtoto atolewa Screw kwenye mapafu
Hospitali ya Taifa Muhimbili imefanikiwa kumtoa mtoto 'Skrubu' (Screw) kwenye mapafu yake kwa kutumia kifaa chenye kamera. Inaelezwa kuwa mtoto huyo alikua akiichezea mdomoni ...
20
Diamond akimchimba biti D voice kutovaa vitu feki
Mwanamuziki Diamondplatnumz akimkabidhi msanii mpya wa WCB D Voice cheni mpya yenye mchanganyiko wa madini iliyotengenezwa kwa muundo wa nembo ya WCB huku akimtaka msanii kuto...
12
Rais Samia atoa ndege kusafirisha kikosi cha Stars
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa ndege itakayotumika kuwasafirisha wachezaji wa ‘timu’ ya Taifa (Taifa Stars) kwenda Nchini Morocco ambapo watacheza na ‘timu&...
10
Mwalimu wa Chris ahukumiwa kwa kusafiri na bunduki
Mwalimu wa mcheza ‘boxer’ #ChrisEubank Jr, McIntyre ‘BoMac' ashitakiwa baada ya kukutwa na bunduki katika uwanja wa ndege wa Manchester nchini Uingereza. Ina...

Latest Post