13
Rambo kutoa kitabu kuhusu safari yake hadi kuwa staa
Mwigizaji mkongwe kutoka Marekani Sylvester Stallone maarufu Rambo amefunguka kuja na kitabu chake kitachoelezea kuhusu safari yake hadi kuwa nyota mkubwa.Kwa mujibu wa Tmz ny...
10
Blueface ahukumiwa kifungo cha miaka minne jela
‘Rapa’ Blueface ahukumiwa kifungo cha miaka minne jela, baada ya kukutwa na hatia ya kumpiga mlinzi wa hoteli mwaka 2012 huko North Hollywood.TMZ iliripoti kuwa me...
11
Rihanna anatarajia kupata mtoto wa tatu
Baada ya kuzua taharuki kufuatia ‘tisheti’ yake iliyoandikwa nimestaafu, sasa imeripotiwa kuwa mwanamuziki Rihanna anatarajia kupata mtoto wa tatu na mpenzi wake A...
11
Rihanna: Najiona mchafu nikiwa na ASAP Rocky
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Rihanna ameeleza kuwa anajiona mchafu akiwa na mpenzi wake #A$APRocky. Rihanna amemsifia mpenzi wake huyo kwa kueleza kuwa ASAP Rocky huwa ...
28
Siku kama ya leo Smith alimchapa kofi Chris Rock
Tarehe na mwezi kama wa leo miaka miwili iliyopita dunia ilishuhudia kile kilichoitwa utovu wa nidhamu baada ya mwigizaji Will Smith kumchapa kofi mchekeshaji ambaye pia ni mw...
03
Muigizaji Carl afariki dunia akiwa usingizini
Muigizaji mkongwe kutoka nchini Marekani Carl Weathers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76.Taarifa ya kifo chake imetolewa na familia yake siku ya juzi Februari 1 wakiel...
10
ASAP Rocky akanusha shutuma zinazomkabili
Baada ya kukabiliwa na mashtaka mawili moja likiwa kumshambulia mmoja wa wafanyakazi katika kundi lake la ‘ASAP Relli’ kwa bunduki, ‘rapa’ Asap Rocky a...
20
Rihanna: Natamani kupata watoto zaidi na ASAP Rocky
Mwanamuziki kutoka nchini #Marekani, #Rihanna amesema anatamani na yuko tayari kupata watoto wengi zaidi na mpenzi wake #ASAPRocky licha ya kuwa na watoto wawili. #Rihanna ame...
11
Cardi B athibitisha kutemana na Offset
Muda machache umepita tangu mume wa ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Cardi B, Offset kudaiwa kutoka kimapenzi na Chrisean Rock ambaye ni mama watoto wa mwanamuziki Bl...
24
Asap Rocky aula Puma
Rapper kutoka nchini #Marekani, na baby mama wa Rihanna #ASAPRocky ametajwa kuwa Mkurugenzi wa Ubunifu (Creative Director) wa ‘kampuni’ ya kutengeneza mavazi ya PU...
24
Lil Wayne na The Rock wakataa sanamu zao
Mwanamuziki wa Hi-hop kutoka nchini Marekani, #LilWayne inadaiwa kukataa muonekano wa sanamu lake ambalo lipo katika makumbusho ya #Wax mjini #Hollywood nchini humo. Kwa mujib...
21
Mashabiki wakosoa sanamu la The Rock
Ikiwa ni kawaida kutoka katika jumba la makumbusho la Grevin Paris nchini Ufaransa kuweka sanamu za watu maarufu mbali mbali, kwa mwaka huu imekua tofauti baada ya mashabiki k...
13
Chris aliwahi kumuomba Jada watoke, baada ya kusikia kaachana na Smith
Jada Smith ambaye aliyekuwa mke wa muigizaji Will Smith, amefichua kuwa Chris Rock aliwahi kumuomba watoke baada ya kusikia ameach...
18
Leslie afichua Chris kupata ushauri nasaha baada ya kupigwa kofi na Will
Mchekeshaji Leslie Jones ambaye ni rafiki wa karibu wa Chris Rock afichua athari alizopata Chris baada ya kupigwa kofi na Will Smi...

Latest Post