31
Mshukiwa wa mauaji ya Tupac anyimwa dhamana
Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Clark, Carli Kierny amemnyima tena dhamana Duane “Keffe D” Davis, mshukiwa wa mauaji ya marehemu mwanamuziki Tupac Shakur, mauaji yal...
27
Mshukiwa wa mauaji ya Tupac aomba kuachiwa huru
Mshukiwa wa mauaji ya ‘rapa’ kutoka Marekani Tupac Shakur, Duane “Keefe D” Davis, amewasilisha ombi la kuachiwa huru kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa...
24
Aliyehusika mauaji ya Pop Smoke aachiwa huru
Kati ya watuhumiwa wanne walioshitakiwa katika mauaji ya ‘rapa’ wa Marekani J. Christopher Smith maarufu #PopSmoke ameripotiwa kuachiwa huru kutoka jela, baada ya ...
21
Washukiwa wa mauaji ya AKA wanyimwa dhamana
Baada ya washukiwa watano kati ya saba wanaohusishwa kuhusika na kifo cha ‘rapa’ Kiernan Forbes maarufu AKA kuomba dhamana mwezi uliyopita, na sasa dhamana hiyo im...
29
Kesi mauaji ya AKA yaanza kusikilizwa
Ikiwa imepita siku moja tangu jeshi la polisi nchini Afrika Kusini kutangaza mbele ya waandishi wa habari kuwa limewakamata watu sita wanaotuhumiwa kwa mauaji ya rapa, Kiernan...
21
Wawili wadakwa kwa tuhuma za mauaji kwenye Super Bowl
Wanaume wawili kutoka Marekani wameshitakiwa kwa mauaji baada ya kufyatua risasi na kusababisha vurugu kwenye sherehe za ushindi wa ‘Super Bowl’ mwaka huu huko Kan...
22
Mhandisi wa Google matatani, Tuhuma za mauaji
Mhandisi wa Program za #Google anayefahamika kwa jina la Liren Chen anatuhumiwa kumpiga mkewe hadi kumuua nyumbani kwake nchini Marekani. Kwa mujibu wa New York Post Mhandisi ...
03
Davis adai hana hatia, mauaji ya Tupac
Mshukiwa wa kwanza katika mauaji ya ‘rapa’ kutoka nchini Marekani #Tupac, #DavisKeefeD yalitokea mwaka 1996 amefikishwa mahakamani siku ya jana Alhamis ambapo kufu...
19
Aliyeua mwanafunzi ahukumiwa baada ya kukiri kosa
Ikiwa imepita miaka 18 tangu kifo cha mwanafunzi Natalee Ann Holloway kutokea, hatimaye Joran van der Sloot amekiri kuhusika na mauaji hayo mbele ya mahakama nchini Marekani. ...
06
Mauaji ya Tupac, kwanini imechukua miaka 27 mtuhumiwa kukamatwa
KUFUATIA kukamatwa kwa mtuhumiwa wa mauaji ya Tupac Shakur, Duane Davis hivi karibuni kunaashiria mafanikio makubwa ya haki kutendeka katika tukio hilo la uhalifu ambalo kwa m...
05
Davis kizimbani kwa mara ya kwanza, Mauaji ya Tupac
Mtuhumiwa wa mauaji ya ‘rapa’ Tupac, Duane "Keffe D" Davis, amefikishwa mahakamani siku ya jana Jumatano, baada ya kukamatwa na ‘polisi’ kwa tuhuma za ...
04
Kwa mara ya kwanza video ya mauaji ya Tupac yaoneshwa
Kufuatia tukio ya kukamatwa kwa rafiki wa aliyekuwa mwanamuziki Tupac, hatimaye kwa mara ya kwanza ushahidi wa tukio hilo umeweza kuoneshwa. Picha ambazo hazijawahi kuonekana ...
24
Msanii MHD aswekwa Jela miaka 12 kwa mauaji
Mwanamuziki wa Hip-hop kutokea nchini Ufaransa #MohamedSylla maarufu kama MHD amehukumiwa kifungo cha miaka 12 jela kwa mauaji ya kijana mmoja yaliyetokea jijini Paris mwaka 2...
08
Bastola iliyotumiwa kwenye mauaji ya AKA yapatikana
Baada ya ukimya wa muda mrefu kuhusiana na ‘kesi’ ya mauaji ya msanii kutoka South Afrika Kiernan Forbes maarufu kama AKA hatimaye bastola iliyotumika kumutoa uhai...

Latest Post