13
Dj Mushizo Apata Ajali Ya Moto, Meneja Asimulia
Meneja Msaidizi wa Dj Mushizo, Ally Masupu amesema chanzo cha moto kilichosababisha msanii huyo kupata ajali ya moto ni shoti ya umeme.Mashizo alikumbwa na ajali hiyo jana saa...
12
Taylor Terry, Malkia wa Jukwaa aliye nyuma ya Chris Brown
Jina la Taylor Terry huenda si maarufu kwa watu wasiopendelea mitandao ya kijamii, lakini katika ulimwengu wa TikTok mwanadada huyo amekuwa akifuatiliwa zaidi kupitia video za...
12
Vitu wanavyovizingatia Mabantu kabla ya kolabo
Kundi maarufu la muziki wa Bongo Fleva nchini, Mabantu ambao kwa sasa wanatamba na ngoma ya ‘Vibaya’ waliyoshirikishwa na msanii wa Singeli Dogo Elisha, wameweka w...
12
Rapa Silento Ahukumiwa Miaka 30 Kwa Kumuua Binamu Yake
Rapa maarufu kutoka Marekani, Ricky Lamar Hawk 'Silentó' (27) amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kumuua binamu yake ‘Frederick Rooks III’ m...
12
Miaka 25 ya Westlife waja kivingine, mmoja ajitoa
Kundi la muziki kutoka Ireland, ‘Westlife’ ambalo lilitamba na ngoma zake kama ‘My Love’, ‘Soledad’ katika miaka ya 2000, limeripoti kutimi...
11
Ustaa Unavyomtesa Chris Brown
Mwanamuziki kutoka Marekani, Chris Brown ‘Breezy’ ameweka wazi kuwa maisha ya umaarufu yamekuwa na athari kubwa katika afya yake ya akili, huku akieleza kuwa kuna ...
11
Kanye West Abadili Jina Tena, Sasa Anaitwa YE YE
Rapa na mjasiriamali wa mitindo, Kanye West, ambaye anafahamika pia kama 'Ye' amebadilisha tena jina lake na sasa anatambulika kama 'Ye Ye' ikiwa ni miaka ...
11
Vigezo Vinavyoangaliwa Msanii Kushinda Tuzo Za BET
Kumekuwa na sintofahamu katika mitandao ya kijamii kufuatia mwanamuziki Abigail Chams, kushindwa kubeba tuzo za BET 2025, tukio lililofanyika hivi karibuni huko Los Angeles, M...
11
Ushauri Wa Nenga Kwa Chipukizi
Msanii wa Bongo Fleva, Billnass ametoa ushauri kwa vijana na marafiki zake ambao wanavipaji vinavyohusisha umaarufu lakini bado wanajitafuta huku akiwataka kuwa wastamilivu na...
11
The Weekend Aweka Rekodi Nyingine
Mwanamuziki wa Canada, The Weeknd ameandika historia mpya ‘MetLife Stadium’, Marekani kwa kuwa msanii wa kwanza wa kiume mweusi aliyeingiza pesa nyingi zaidi kweny...
11
Njama Zapangwa Kutoa Uhai Wa R. Kelly Gerezani
Timu ya wanasheria wa msanii R. Kelly imewasilisha ombi la dharura kutaka msanii huyo aachiliwe mara moja kutoka gerezani na apewe kifungo cha nyumbani, hii ni baada ya maisha...
10
Nandy Athibitisha Kupokea Sh100 Milion Kutoka Kwa Yammi
Mwanamuziki na mmiliki wa Lebo ya ‘The African Princess’ Nandy amethibitisha kupokea kiasi cha Sh100 milioni kutoka kwa aliyekuwa msanii wake Yammi kama asante na ...
10
Bxtra Watoa Taarifa Kuhusu Madai Ya Cherry
Lebo ya muziki nchini, Bxtra Record imetoa taarifa kwa umma kufuatia madai yaliyotolewa na msanii wao, Cherry ambaye jana June 9, 2025, alishiriki ujumbe wa wazi kufuatia na m...
10
Zari Atia Neno Ndoa Ya Diamond, Zuchu
Mfanyabiashara Zari The Boss Lady ambaye pia ni mzazi mwenza wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ametia neno kufuatia ndoa ya Zuchu na Simba huku akiwapongeza kwa hatua...

Latest Post