04
Kuachana kwa Cardi B na Offset hakuzuii watoto kufurahi
Mwanamuziki wa Marekani Cardi B na mumewe Offset wameripotiwa kuonekana pamoja wakifurahia siku ya kuzaliwa ya mtoto wao siku chache zilizopita licha ya wawili hao kuwasilisha...
12
Zari na Shakib wadaiwa kuachana, Diamond atajwa
Mfanyabiashara Zari na mumewe Shakib wameripotiwa kugombana tena, hii ni baada ya mwanamuziki Diamond kutua Afrika Kusini kwa ajili ya kusheherekea siku ya kuzaliwa ya mtoto w...
06
Sophia: Davido hana malezi mazuri
Mpenzi wa zamani wa mwanamuziki Davido na mzazi mwenzie Sophia Momodu amedai kuwa hakubaliani na msanii huyo kupewa malezi ya mtoto wao aitwaye ‘Imade’ kwani David...
29
Diamond ataja sababu kupangwa mchana show ya Afronation
Mkali wa ngoma ya ‘Komasava’ Diamond amefunguka kuhusu suala la waandaji wa Tamasha la ‘Afronation’ linalifanyika nchini Ureno kumpanga mchana tofauti ...
25
Wizkid: Sasa nampenda mungu, Sina chuki na mtu
Baada ya bifu la mwanamuziki Wizkid na Davido kulindima kwa wiki kadha, hatimaye Wizkid amedai kuwa kwa sasa anampenda Mungu na hana chuki na mtu yeyote. Wizkid ameyasema hayo...
18
Ja Rule awakosoa wanaume wanaovaa jeans za kuchanika
‘Rapa’ kutoka Marekani, #JaRule amewakosoa wanaume wanaopendelea kuvaa jeans zilizochanika huku akidai kuwa ni mtindo wa zamani. Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Mail...
18
Kizz Daniel adaiwa kuachana na mkewe
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Kizz Daniel ameripotiwa kuachana na mkewe, hii ni baada ya kufuta picha zote akiwa na mama watoto wake huyo. Kupitia ukurasa wa Instagram wa K...
15
Shakira hana mpango wa mpenzi kwa sasa
Mwanamuziki wa Colombia Shakira amefunguka kuwa hayopo tayari kuingia kwenye mahusiano rasmi badala yake anatamani kuwa na mtu wa kawaida (mchepuko).Shakira maeyasema hayo wak...
15
Kampuni ya Apple yashitakiwa kwa kusababisha mume na mke kuachana
Mfanyabiashara wa Uingereza aliyefahamika kwa jina la Richard ameripotiwa kuishitaki kampuni ya simu za Iphone, hii ni baada ya kampuni hiyo kurudisha ‘meseji’ zil...
12
Skales amchana wizkid
Rapa wa Nigeria #Skales amemtolea povu mkali wa Afrobeats #Wizkid baada ya kudai kuwa muziki wa Hip-hop umekufa. Skales ametoa povu wakati alipoulizwa swali juu ya Wiz kudai m...
10
Madrid yagoma kumtoa Arda Guler
‘Klabu’ ya #RealMadrid imekataa ofa kwa ‘klabu’ zinazomuhitaji mchezaji wao Arda Guler, wakisisitiza kuwa bado wanamatumizi naye hivyo hataruhusiwa kuo...
10
Jennifer Lopez na Ben wauza nyumba, Wadaiwa kuachana
Mwanamuziki wa Marekani Jennifer Lopez na mumewe Ben Affleck wanadaiwa kuachana baada ya kuuza nyumba yao waliyoijenga pamoja kwa dola 60 milioni. Kwa mujibu wa tovuti ya TMZ ...
20
Banda afunguka kuachana na mdogo wa Kiba
Baada ya maswali mengi juu ya ndoa ya beki wa klabu ya Richards Bay inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini, Mtanzania Abdi Banda, mwenyewe kajitokeza na kufafanua ilivyokuwa.Staa...
18
Tyson Fury na Usyk kuoneshana ubabe leo
Bondia kutoka Uingereza Tyson Fury na bondia wa Ukraine Oleksandr Usyk, siku ya leo Mei 18, 2024 wanatarajia kupanda ulingoni kuoneshana ubabe ambapo watapigana raundi raundi ...

Latest Post