15
Obama Na Mkewe Hawana Mpango Wa Kuachana
Ujumbe ambao ameandika aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama kwenda kwa mke wake Michelle Obama siku ya jana ya Valentine umewakosha watu wengi katika mitandao ya kijamii.Ob...
05
Utafiti: Wanawake Huonekana Wazee Kila Jumatano Mchana
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chapa ya ‘St. Tropez’ unaeleza kuwa wanawake wanapata mabadiliko ya kuonekana wazee kila ifikapo Jumatano hasa kuanza saa 9:30 ...
01
Ishu Ya Wema Kuachana Na Whozu Ipo Hivi
Moja ya stori inayoendelea kusambaa katika mitandao ya kijamii ni kuhusiana na staa wa Bongo Movie Wema Sepetu kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Whozu.Kutokana na wadau na mas...
15
Kanye West Hana Mpinzani Kwenye Biashara
Rapa kutoka Marekani Kanye West ameonesha ukubwa wake kwenye biashara, hii ni baada ya kuripotiwa kupata mauzo ya dola milioni tatu kupitia bidhaa zake za YZY ndani ya masaa 3...
14
Kocha Guardiola Aachana Na Mke Wake
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ameachana na mke wake Cristina Serra ambaye wamekaa pamoja kwa miaka 30.Guardiola ambaye anapitia kipindi kigumu kwenye kikosi cha Manch...
02
Rihanna Amchana Shabiki Kisa Kumwambia Anakomwe
Mwanamuziki Rihanna amemjia juu shabiki mmoja aliefahamika kwa jina la ‘Lorenzo Hirmez’ baada ya shabiki huyo kumwambia Riri anakomwe.“Tunahitaji album komwe...
20
Sanaa ya upishi kukuza utamaduni, Waziri Pindi Chana agusia utalii
Kutokana na sanaa ya upishi kuwa miongoni mwa mambo yanayoweza kukuza na kuendeleza utamaduni, utalii, na uchumi. Kufuatia madhimisho ya msimu wa tisa wa wiki ya Vyakula vya K...
04
Kuachana kwa Cardi B na Offset hakuzuii watoto kufurahi
Mwanamuziki wa Marekani Cardi B na mumewe Offset wameripotiwa kuonekana pamoja wakifurahia siku ya kuzaliwa ya mtoto wao siku chache zilizopita licha ya wawili hao kuwasilisha...
12
Zari na Shakib wadaiwa kuachana, Diamond atajwa
Mfanyabiashara Zari na mumewe Shakib wameripotiwa kugombana tena, hii ni baada ya mwanamuziki Diamond kutua Afrika Kusini kwa ajili ya kusheherekea siku ya kuzaliwa ya mtoto w...
06
Sophia: Davido hana malezi mazuri
Mpenzi wa zamani wa mwanamuziki Davido na mzazi mwenzie Sophia Momodu amedai kuwa hakubaliani na msanii huyo kupewa malezi ya mtoto wao aitwaye ‘Imade’ kwani David...
29
Diamond ataja sababu kupangwa mchana show ya Afronation
Mkali wa ngoma ya ‘Komasava’ Diamond amefunguka kuhusu suala la waandaji wa Tamasha la ‘Afronation’ linalifanyika nchini Ureno kumpanga mchana tofauti ...
25
Wizkid: Sasa nampenda mungu, Sina chuki na mtu
Baada ya bifu la mwanamuziki Wizkid na Davido kulindima kwa wiki kadha, hatimaye Wizkid amedai kuwa kwa sasa anampenda Mungu na hana chuki na mtu yeyote. Wizkid ameyasema hayo...
18
Ja Rule awakosoa wanaume wanaovaa jeans za kuchanika
‘Rapa’ kutoka Marekani, #JaRule amewakosoa wanaume wanaopendelea kuvaa jeans zilizochanika huku akidai kuwa ni mtindo wa zamani. Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Mail...
18
Kizz Daniel adaiwa kuachana na mkewe
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Kizz Daniel ameripotiwa kuachana na mkewe, hii ni baada ya kufuta picha zote akiwa na mama watoto wake huyo. Kupitia ukurasa wa Instagram wa K...

Latest Post