22
Guardiola kocha bora wa mwaka 2023/24
Kocha wa ‘Klabu’ ya Manchester City, Pep Guardiola ametangazwa kuwa ‘kocha’ bora wa mwaka katika Ligi kuu ya Uingereza kwa mwaka 2023/2024.Guardiola am...
01
Rangnick anukia Bayern Munich kuchukua mikoba ya Tuchel
Imeripotiwa kuwa Rais wa klabu ya Bayern Munich Harbert Hainer amethibitisha kuwa klabu hiyo ipo kwenye hatua nzuri ya mazungumzo na aliyekuwa kocha mkuu wa Manchester United ...
28
Tuchel agoma kushawishiwa na mashabiki kubaki Bayern Munich
Imeripotiwa kuwa kocha wa #BayernMunich, Thomas Tuchel amedai kuwa hatakubali kushawishiwa na ombi la mashabiki kumtaka abakie katika klabu hiyo. Kwa mujibu wa tovuti ya Sky S...
21
Kocha Tuchel avunja mkataba na Bayern Munich
‘Kocha’ wa ‘klabu’ ya #BayernMunich, #ThomasTuchel amefikia makubaliano ya kuvunja mkataba wake, na ‘timu’ hiyo mwezi Juni mwaka huu ambapo...
18
Mourinho anukia Bayern Munich
‘Kocha’ wa zamani wa ‘klabu’ ya #ASRoma, #Chelsea na #ManchesterUnited, #JoseMourinho anadaiwa kuwa kwenye mpango wa kuifundisha ‘klabu’ ya...
26
Klopp atangaza kuondoka Liverpool
Huenda leo isiwe siku nzuri kwa mashabiki wa Liverpool baada ya ‘kocha’ wao Jurgen Klopp kutangaza kung'atuka ‘klabuni’ hapo baada ya msimu huu kumaliz...
21
Kane hana baya kwa Tottenham
Mwenyekiti wa ‘Klabu’ ya #TottenhamHotspur, #DanielLevy amesema kuwa wanampango wa kumrudisha ‘straika’, #HarryKane kwenye kikosi chao endapo ‘kl...
06
Man city yamshikila Kyle Walker
Manchester City wamuwekea 'ofa' nono mezani 'beki' wao Kyle Walker ili 'asaini' mkataba mpya wa kuendelea kusalia kwenye viunga hivyo ikiwa ni baada ya kusambaa kwa tetesi kwa...

Latest Post