Mwaka 2006 liliandiliwa shindano la kusaka vipaji vya uimbaji lililopewa jina la 'Talent Show'. Shindano hilo lilikuwa na msisimko mkubwa kwani walijitokeza vijana wengi ambao...
Kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa katika jarida la ‘Archives of Behavior’ umebaini kuwa wanaume wenye ndevu ni waaminifu huku wakiripotiwa kudumu kwenye mahusian...
Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya ‘Empire Lokoma’ Johari Chagula mapema wiki hii ameinua bendera ya Tanzania nchini Nigeria kwa kuondoka na tuzo mbili za The M...
Mwanamuziki wa Singeli, Meja Kunta, ameweka wazi mipango yake ya kufanya kazi na rapa mkongwe Rashidi Abdallah, maarufu kama Chidi Benz.
Akizungumza katika mahojiano maalumu n...
Mwanamuziki Barnaba Classic ambaye kwa sasa ni mwigizaji wa filamu ya Mawio inayorushwa Azam Tv amesema kuwa kabla ya kuanza muziki alikuwa mwigizaji
“Nilikuwa mwigizaji...
Kufuatia mvutano wa kugombania msemo unaofanania na "Kuchekacheka tu kuoga aaah" kati ya wachekeshaji Shafii Brand na Steve Moses 'Stive Mweusi', Ofisa Usajili kutoka Wakala w...
Mwanamuziki wa Nigeria, Ruger amefunguka mtazamo wake kuhusu mahusiano kwa kudai kuwa anaweza kupenda wanawake watano tofauti kwa wakati mmoja.
Ruger ameyasema hay...
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Doja Cat ameripotiwa kumtolea maneno machafu baba yake mzazi hii ni baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na mzee wake huyo.Kupitia ukurasa...
Willow Smith ambaye ni mtoto wa mwigizaji kutoka nchini Marekani, Will Smith, ameweka wazi kuwa mafanikio aliyonayo hayatokani na wazazi wake bali ni juhudi zake mwenyewe.Will...
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Jason Derulo amkingia kifua mkali wa Hip-hop Diddy kwa kudai kuwa mwanamuziki huyo hana hatia.
Derulo ameyasema hayo wakati alipokuwa akipig...
Mwanamuziki mkongwe kutoka nchini Marekani, R. Kelly ambaye anatumikia kifungo cha miaka 31 gerezani kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono, amewaonya wale wote ambao wanamdhiha...
Mwanaume mmoja kutoka nchini #Urusi aliyefahamika kwa jina la Dennis Vashurin mwenye umri wa miaka 36 imemlazimu kutembea na cheti chake cha kuzaliwa kwasababu ya kuthibitisha...
Muamuzi #AbongileTom kutoka nchini Afrika Kusini ameteuliwa kusimamia mchezo wa robo fainali ya ‘ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC dhidi ya #AlAhly kutoka nchini ...