10
Boti iliobeba wahamiaji 200 yapotea majini
Waokoaji wa Uhispania wanaendelea na msako wa mashua hiyo karibu na Visiwa vya Canary ambapo inadaiwa haijulikani ilipo tangu ilipoanza safari zaidi ya Wiki moja iliyopita. ...
06
Wahamiaji wafukuzwa, Tunisia
Mamia ya wahamiaji kutoka kusini mwa Jangwa la Sahara (Afrika) wameshambuliwa katika mji wa Sfax nchini Tunisia huku zaidi ya watu 10 wakiripotiwa kujeruhiwa wakiwemo watoto. ...
02
Marekani yazidiwa na wahamiaji
Kufatiwa sehemu za makazi ya kuwahifadhi wahamiaji katika jiji la Texas nchini Marekani imeeleza kuwa imezidiwa uwezo kutokana na wimbi kubwa la wahamiaji nchini humo. Wahamia...
29
39 wafariki kwa moto kituo cha wahamiaji
Watu 39 wamefariki katika ajali ya moto, katika kituo cha wahamiaji nchini Mexico. Tukio hilo limetokea katika mji wa Ciudad Juarez, ambapo idadi ya waliojeruhiwa ni 29, huku ...
27
Wahamiaji 59 wafariki baada ya boti kuzama baharini
Taarifa kutoka Italia ambapo Watoto 12 ni miongoni mwa waliopoteza Maisha katika Ajali hiyo huku Watu wengine kadhaa wakiwa hawajulikani walipo huku ikiaminika boti ilibeba ka...
15
Wahamiaji 73 wanahofiwa kufariki baada ya ajali ya meli
Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeandika kwenye mtandao wao wa Twitter  kuwa takribani wahamiaji 73 wameripotiwa kupotea na kudhaniwa kuwa wamekufa kufuatia ajal...
05
Uingereza yaunga mkono wahamiaji kupelekwa Rwanda
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza Suella Braverman amesema watu wanaoingia Uingereza kupitia njia zisizo halali wasiruhusiwe kuomba hifadhi nchini humo. Braverman ameapa k...

Latest Post