15
Afya ya bondia Coleman yazidi kuimarika
Baada ya kuripotiwa kuwa katika hali mbaya kutokana na kunusurika kwenye ajali ya moto, familia ya bingwa wa zamani wa UFC Mark Coleman, imeripoti kuwa mkali huyo kwa sasa ana...
13
Bondia Coleman anusurika na kifo kwenye ajali ya moto
Bingwa wa zamani wa UFC Mark Coleman (59) maarufu kama ‘The Hammer’ ameripotiwa kuwa katika hali mbaya hospitalini baada ya kuwaokoa wazazi wake katika ajali ya mo...
09
Ngannou apigwa kwa K.O, Joshua amtaka asiache ngumi
Bondia maarufu kutoka nchini Cameroon Francis Ngannou amechapwa na Anthony Joshua kwa kumpiga Knock Out (K.O) katika pambano la uzito wa juu lililofanyika Riyadh, Saudi Arabia...
24
Cr7 amzawadia bondia Ngannou saa ya thamani
‘Fowadi’ kutoka ‘klabu’ ya #AlNassr #CristianoRonaldo amzawadia bondia kutoka #Cameroon Francis Ngannou saa yenye thamani zaidi ya million 200 za Kitan...
22
UFC kuitaka ‘saini’ ya Michael Page
Inadaiwa kuwa ‘kampuni’ya inayo husika na maswala ya ngumi, UFC ikotayari kupata ‘saini’ ya mwanamichezo wa boxer kutoka nchini Uingereza, Michael Page...
04
The Rock amnunulia nyumba mpiganaji wa UFC
Muigizaji mashuhuri nchini Marekani Dwayne Johnson maarufu kama The Rock amemnunulia nyumba kama zawadi mpiganaji wa UFC, Themba Gorimbo jijini Miami baada ya kuguswa na stori...
16
Bondia ashutumiwa kwa kufanya ubakaji
Mwanamke mmoja nchini Marekani amfungulia kesi mpiganaji wa mashindano ya UFC Mc Gregor kwa kumfanyia vitengo vya ngono kwa nguvu wakati wa mchezo wa fainali za NBA mapema mwe...

Latest Post