25
Walimu waruhusiwa kuingia na bunduki shuleni
Wabunge wa jimbo la Tennessee nchini Marekani wamepitisha mswada wa kuwaruhusu walimu na wafanyikazi wengine wa shule kubeba bunduki shuleni siku ya Jumanne. Imeelezwa kuwa wa...
27
Mama alivyorudisha tabasamu kwa binti yake
Mwanamke mmoja kutoka Utah nchini Marekani aitwaye Daniella amerudisha tabasamu kwa binti yake wa miaka saba aitwaye Gianessa Wride baada ya kubuni njia inayoweza kuwa mbadala...
19
Ada ya mtoto yamtokea puani muigizaji wa Family matters
Muigizaji kutoka nchini #Marekani, #DariusMcCrary amekamatwa na polisi na kuswekwa rumande kwa kushindwa kulipa ada ya mtoto wake shuleni. Nyota huyo wa #FamilyMatters mwenye ...
09
Kuanzia leo, Mwiko wanafunzi kutumia simu shuleni australia
Simu zapigwa marufuku kwa wanafunzi katika shule za serikali nchini Australia wakati wa saa za shule au wakiwa darasani. Hiyo ni kutokana na kuepusha usumbufu darasani wakati ...
20
Watoto wa chekechea watumia dawa za kulevya
Dunia ya leo kumekuwa na vitu vingi vya kustaajabisha na kushangaza imekuwa kawaida sana kutokea matukio ambayo huwezi kuya dhania kama yangetokea moja ya tukio lililowapa wat...
29
Nyama ya nguruwe kujumuishwa kwenye chakula shuleni
Mipango inaendelea ya kuwezesha shule kujumuisha nyama ya nguruwe katika ratiba ya chakula nchini Rwanda kama njia ya kutokomeza utapiamlo. Olivier Kamana, Katibu Mkuu wa Wiza...
09
Ruksa kusokota rasta shuleni
Mahakama kuu nchini Malawi imeamuru mamlaka ya elimu kuwapokea wanafunzi waliosokota rasta katika shule za umma kote nchini. Mahakama hiyo, iliyoko mashariki mwa jiji la Zomba...
26
Wazazi 763 wakamatwa kwa kutowapeleka shuleni wanafunzi waliofaulu
Taarifa kutoka Ruvuma ambapo Idadi hiyo imefikiwa baada ya msako wa Nyumba kwa Nyumba uliofanywa na Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Julius Mtatiro, kutokana Wanafunzi wengi wa Dara...

Latest Post