23
Mfahamu mwanamke aliyebana kiuno, tumbo ili kumridhishe mumewe
Aliyesema mapenzi upofu wala hakukosea, kwani watu hujikuta wakifanya baadhi ya mambo kwa lengo la kuwaridhisha wanaowapenda. Kutokana na mapenzi mfahamu Ethel Granger mwanama...
22
Hivi ndivyo Tiwa Savage alivyochagua kumaliza mwaka
Kama ilivyo desturi kwa baadhi ya wasanii kujipongeza kwa kujinunulia zawadi mbalimbali mwisho wa mwaka mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage amechagua kuumaliza mwaka...
12
Nandy: Mimi ndiye msanii wa kwanza kumiliki range, Zuchu rafiki yangu
Mwanamuziki Nandy usiku wa kuamkia leo kwenye party yake ya #FollowTheVibe amedai kuwa akitolewa ladyjdee, yeye ndiye msanii wa kw...
02
Harmonize : Bahati haiji mara mbili
Vita ya ma-ex wawili bado inaendelea, ambapo kwa upande wa Harmonize bado anatoa ya moyoni. Kupitia instastory yake ameshusha tena ujumbe ukisema “U can tell how walikuw...
17
Lulu amjia juu shabiki kisa Hamisa Mobetto
Muingizaji wa #BongoMovie Elizabeth Michael (Lulu), kama ilivyo kawaida yake kutovumilia maneno ya  mashabiki kwenye mitandao ya kijamii, kwa mara nyingine tena #Lulu ama...
30
Maua Sama: Naogopa sana magari
Hahahahah! Make hapa kwanza nchike, wakati mimi na wewe msomaji tukitamani kumiliki mandinga na kutamba nayo mitaani kumbe kuna wenzetu wanayo ila hawawezi kuyatumia. Basi bwa...
05
Harmonize Anunua Range mbili za Kajala
Msanii Rajabu Abdul maarufu Harmonize ameweka wazi kuwa Amemuagizia Gari lingine Muigizaji Kajala Frida aina ya Rangerover  nyeusi na hivyo kufanya Jumla ya Magari m...

Latest Post