01
Mwenye miaka 80 ashiriki Miss Universe
Mwanamitindo kutoka Korea Choi Soon-hwa mwenye miaka 80 ameripotiwa kushiriki katika mashindano ya Miss Universe 2024, huku akitajwa kuwa mshiriki mwenye umri mkubwa zaidi kat...
17
50 Cent: Lamar amestahili kupiga show Super Bowl
‘Rapa’ 50 Cent anadai kuwa msanii Kendrick Lamar, amestahili kuchaguliwa kuongoza show ya Super Bowl Halftime inayotarajiwa kufanyika Februari mwaka 2025 jijini Ne...
17
Sababu, Lil Wayne kutemwa Super Bowl Halftime 2025
Baada ya kuwepo kwa minong’ono kuhusiana na ‘rapa’ Lil Wayne kutochaguliwa kutumbuiza kwenye ‘Super Bowl Halftime’ mwakani mtayarishaji wa onesho...
14
Nicki Minaj amtia moyo Lil Wayne
‘Rapa’ Nicki Minaj ameshiriki maneno ya kutia moyo kwa mwanamuziki Lil Wayne baada ya msanii huyo kutochaguliwa kwenye onesho la ‘Super Bowl Halftime’ ...
10
Shakira kutumbuiza fainali ya Copa America 2024
Mwanamuziki mkongwe wa Colombia, Shakira amethibitishwa kutumbuiza kwenye fainali ya Copa America 2024, siku ya Jumapili inayotarajiwa kuhudhuriwa na mashabiki 54,000. Kwa muj...
05
Mr Blue atangaza kufungua studio
Baada ya kutoa taarifa kuwa anakuja na ngoma mfululizo kupitia ukurasa wake wa Instagram na sasa ‘rapa’ Mr Blue ametangaza kufungua studio yake ya muziki iliyoipa ...
04
Mr Blue: Muda wa kuwaletea kazi
Mwanamuziki wa Hip-hop nchini Mr Blue ameweka wazi kuwa umefika muda wa kuachia kazi mfululizo kwa mashabiki wake, huku akiwataka wachague aina gani muziki aanze nao kati ya h...
15
Mr beast aanza kutoa zawadi ya magari
Baada ya mtengeneza maudhui kutoka Marekani, Mr Beast kuahidi kutokla zawadi ya magari 26 kwa mashabiki zake katika siku yake ya kuzaliwa, hatimae mtengeneza maudhui huyo amet...
10
Aliyejaribu challenge ya kuzikwa akiwa hai, atoka mzima
Kijana mmoja kutoka nchini Nigeria aliyetambulika kwa jina la Young C, ametoka akiwa mzima baada ya kuzikwa kwa saa 24.Kijana huyo alitangaza kufanya tukio hilo kupitia mtanda...
11
Albamu ya kwanza ya Tems kuachiwa mwaka huu
Baada ya kushiriki kuandika nyimbo za mastaa wakubwa duniani kama Beyonce na Rihanna, hatimaye Temilade Openiyin ‘Tems’ kutokea nchini Nigeria ametangaza kuwa mwak...
07
Mr Blue: Marafiki waliniharibu
Mwanamuziki Mr Blue ameweka wazi kuhusiana na safari yake ya muziki ambapo amedai kuwa yeye aliharibiwa na watu (marafiki) ambao walikuja baada ya yeye kuwa ‘staa;.Mr Bl...
23
Bess ashinda tuzo ya kocha bora 2024
‘Kocha’ mwenye umri mdogo zaidi wa mchezo wa kikapu aitwaye Christopher Bess (6) ameshida Tuzo ya ‘Kocha’ bora mwaka 2024, baada ya ‘timu’ ...
23
Waziri Nchemba kama Pacome
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba ameachia picha kupitia ukurasa wake wa Instagram akiwa na breach kichwani akijiandaa na ‘Pacome Day’ mchezo unaotarajiwa kuchezwa s...
21
Wawili wadakwa kwa tuhuma za mauaji kwenye Super Bowl
Wanaume wawili kutoka Marekani wameshitakiwa kwa mauaji baada ya kufyatua risasi na kusababisha vurugu kwenye sherehe za ushindi wa ‘Super Bowl’ mwaka huu huko Kan...

Latest Post