19
Tyla: Mtoto wa 2000 anavyomfunda Diamond
Mwimbaji wa Afrika Kusini, Tyla, 22, hivi karibuni ameshinda tuzo ya MTV Video Music Awards (VMAs) 2024, mafanikio haya ni somo lingine kwa staa wa Bongofleva, Diamond Platnum...
11
Sababu ya Dj kula sahani moja na wasanii
Sio ajabu kuona Ma-DJ nchini nao wanakuwa maarufu kama ilivyo kwa wasanii wa Bongofleva.Wamekuwa wakiandaa shoo zao wenyewe, kushinda tuzo za kimataifa, kuwa na idadi kubwa wa...
04
Diamond ajitosa anga za kina Bill Gates
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' amewekawazi kuwa ndoto yake kubwa kwa sasa ni kuwa tajiri namba moja duniani huku akiweka ahadi ya kuwa mtan...
29
Diamond Platnumz afunguka kuhusu Komasava
Wakati ngoma ya mkali wa Bongo Fleva nchini Diamond Platnumz ya ‘Komasava’ ikiendelea kukosha nyoyo za watu kutoka katika mataifa mbalimbali msanii huyo ameweka wa...
27
Wasanii na mionekano yao
Mwonekano ni kati ya vitu vinavyoweza kumpa msanii utambulisho wake ingawa wapo baadhi ya watu wamekuwa wakijiuliza kama kuna ulazima wa msanii kuvaa nguo za ajabu, mabwanga, ...
21
Diamond na Rekodi mpya
Mwanamuziki wa Bongo Flava nchini, Diamond Platnumz, ameendelea kuonesha ukubwa wake baada ya kufikisha zaidi ya streams milioni 400 kwenye mtandao wa kuskiliza mziki wa &lsqu...
30
Harmonize atupa dongo gizani, Amtania Ibraah
Mwanamuziki wa #BongoFleva, Harmonize amefanya utani kwa #Ibraah ambaye ni msanii anayemsimamia katika lebo yake ya Konde Gang akimwambia kuwa yeye ndiyo amemtoa kimuziki. Har...
15
Diamond: Tumieni changamoto zangu kama motisha
Nyota wa muziki wa #bongofleva nchini Diamondplatnumz amewasihi vijana wenzake kutumia changamoto na kheri za maisha yake kama motisha ya kufanikiwa kimaisha.Diamond ameyaelez...
28
Diamond awaburuza Davido, Asake na Burna Boy
Nyota wa muziki wa Bongo Fleva Diamondplatnumz amekuwa msanii wa kwanza Afrika mwenye ngozi nyeusi kufikisha wafuasi milioni 8.66 kapitia mtandao wa YouTube.Mafanikio hayo yan...
23
Esma: Hii ndio ndoa yangu ya mwisho
Baada ya kufunga ndoa usiku wa kuamkia leo na mpenzi wake Jembe One, mfanyabiashara na dada wa mwanamuziki Diamond, Esma Platnumz ameeleza kuwa ndoa hiyo ndio itakuwa ndoa yak...
23
Baada ya miaka 3, Esma afunga ndoa tena
Usiku wa kuamkia leo mfanyabiashara na dada wa mwanamuziki Diamond, Esma Platnumz alifunga ndoa na mpenzi wake Mwanamuziki, na Meneja Jembe One, ndoa iliyofungwa katika msikit...
25
Mondi na Blue wanajambo lao
Mwanamuziki wa hip-hop Mr Blue na nyota wa muziki Diamondplatnumz wanatarajia kuachia jiwe jipya leo Januari 25.Kupitia ukurasa wa Instagram wa Mondi ameweka wazi ujio wa jamb...
29
Esma: Mwaka 2023 nimejifunza kuwa imara
Ikiwa zimebaki siku mbili kuumaliza mwaka 2023, dada wa nyota wa muziki Diamond, Esma Platnumz amefunguka na kuweka wazi kuwa mwaka huu umemfanya awe imara zaidi kutokana na y...
24
Baba Levo: Mungu baba kama ni kosa kumshabikia Diamond nitoe roho
Mwanamuziki na mtangazaji #BabaLevo ammwagia sifa #DiamondPlatnumz Kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-share video ya nyota huyo wakati anatumbuiza na kuandika ujimbe akisem...

Latest Post