02
Albamu, Ep Zinavyompa Rayvanny Upekee
Staa wa Bongofleva kutokea Next Level Music (NLM), Rayvanny katika kipindi cha miaka tisa ya umaarufu wake kimuziki, amefanikiwa kutoa Extended Playlist (EP) tano pamoja na al...
02
Zuchu Na Ujumbe Huu Kwa Mashabiki Wanaomkosoa
Baada ya mwanamuziki Zuchu kuachia ngoma yake mpya iitwayo ‘Amanda’ ambayo haijapokelewa vizuri na baadhi ya mashabiki wakiunanga kuwa wimbo huo ni mbaya, hayimaye...
02
Busta Rhymes Atunukiwa Nyota Hollywood Walk Of Fame
Mwanamuziki maarufu wa hip hop Busta Rhymes ametunukiwa rasmi nyota ya ‘Hollywood Walk of Fame’, ikiwa ni heshima kubwa kwa mchango wake katika muziki na burudani ...
02
Hatimaye Liam Neeson Kapenda Tena
Mwigizaji mkongwe wa Marekani, Liam Neeson (73) anaripotiwa kuzama katika uhusiano mpya na mwanamitindo, Pamela Anderson (58) licha ya hapo awali kudai amefunga ukurasa huo ku...
01
Jeshi la polisi lakanusha Ebitoke kutekwa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limekanusha madai ya msanii wa vichekesho Ebitoke kutekwa na watu aliowataja kwenye ukurasa wake wa Instagram, kama ilivyoelezwa. Akizungumza Ka...
01
Makabila Azungumza Kuhusu Mwonekano Wake Mpya
Msanii wa singeli, Dulla Makabila wiki hii 'ametrend' baada ya kutupia picha yenye mwonekano mpya ikimuonesha kung'aa zaidi sura na kuwa mweupe.Kutokana na mwon...
01
Diamond: Siamini Katika Muziki
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini, Diamond Platnumz ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa ‘Down’, ameweka wazi sababu kubwa inayomfanya awekeze nguvu katika sh...
01
Kesi Ya Salman Khan Kuhusu Uwindaji Haramu Yapamba Moto
Kesi ya mwigizaji wa Bollywood, Salman Khan inazidi kupamba moto ambapo inatarajiwa kurudishwa tena Mahakama kuu ya Rajasthan, Septemba 22,2025 kwa ajili ya kusikiliza rufaa d...
31
Je Wajua, Mshahara Ulikuwa Unaitwa Pesa Ya Chumvi
Kila ifikapo mwisho wa mwezi wafanyakazi kutoka mashirika mbalimbali akili yao huwa ni moja tuu kupokea mshahara ili aende kumwagilia moyo, lakini wengi wao hawaju maana ya ne...
31
Nicotrack Ataja Sababu Muziki Wa Zamani Kudumu
DJ na mwanahabari mkongwe nchini, DJ Nicotrack ameelezea sababu inayosababisha nyimbo za zamani kudumu katika ubora na masikioni mwa mashabiki kuliko za sasa.Nicotrack amesema...
31
Soksi Ya Michael Jackson Yauzwa Sh21 Milioni
Soksi moja ya mfalme wa muziki wa Pop duniani, Michael Jackson ambayo aliivaa wakati wa tamasha nchini Ufaransa miaka ya 1990 imeuzwa kwa zaidi ya dola 8,000 sawa na Sh21 mili...
31
Diddy Apindua Meza, Ataka Kuachiwa Huru
Mwanamuziki na mfanyabiashara maarufu Sean “Diddy” Combs ameamua kupindua meza, hii ni baada ya kutaka afutiwe makosa mawili yaliyobaki kwa kudai kuwa hakuvunja sh...
31
Zuchu Hataki Mchezo Na Mumewe
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Zuchu ametoa onyo kwa mtu mmoja ambaye anadaiwa kuwa mwanamke kwa kumtafuta mumewe msanii Diamond Platnumz usiku.Kupitia ukurasa wake wa Inst...
30
Huyu Hapa Muasisi Wa Birthday
Kwa sasa kusheherekea siku ya kuzaliwa ni jambo la kawaida duniani kote, lakini hapo zamani sherehe hiyo ilikuwa ikifanywa kwa ajili ya familia za Kifalme. Kwa mujibu wa histo...

Latest Post