07
Wema Sepetu: Kufa sifi lakini chamoto nakiona
Kupitia ukurasa rasmi wa Snapchat, wa The Tanzanian Sweetheart Wema Sepetu ame-share ujumbe ambao umewashitua mashabiki wengi na kuwafanya waulizane kipi kimemkuta mrembo huyo...
30
Whozu: Nimeyatimba, kama mama mkwe hakukubali nyoosha mkono
Kufuatia na kitendo kilichoteka usiku wa kuamkia jana katika birthday ya Wema, baada ya mama yake, kueleza kuwa anakasirishwa na kitendo cha Whozu kutokufuata taratibu za ndoa...
30
Wema: Sitofanya party tena, ningekaa kimya ningekufa
Muigizaji Wema Sepetu ameyatoa ya moyoni baada ya kile kilichotokea kwenye birthday party yake, na kueleza kuwa hatokuja kufanya tena sherehe maisha yake yote.Wema ameyasema h...
29
Mwijaku: Whozu tafuta pesa uheshimiwe ukweni
Muigizaji na mwandishi wa habari Mwijaku ametoa ushauri kwa mwanamuziki Whozu kuwa atafute pesa ili aweze kuheshimiwa ukweni,Hii inakuja baada ya kilichotokea usiku wa kuamkia...

Latest Post