09
Ruksa kusokota rasta shuleni
Mahakama kuu nchini Malawi imeamuru mamlaka ya elimu kuwapokea wanafunzi waliosokota rasta katika shule za umma kote nchini. Mahakama hiyo, iliyoko mashariki mwa jiji la Zomba...
13
Waliofariki kutokana na kimbunga Freddy wafikia 1000
Rais kutoka nchini Malawi Lazarus Chakwera ametangaza idadi ya watu waliofariki kutokana na kimbunga freddy nchini humo, kuwa imeongezeka na kufikia idadi ya watu 1,000 h...
23
Stumai Muki amtwanga chimwemwe Banda
Hehehehe! Nyie nyie  nani kasema wanawake hawawezi, basi bwana bondia mwanamke kutoka nchini Tanzania Stumai Muki ameshinda  katika pambano la ngumi, dhidi ya Chimwe...
16
Maombolezo siku 14 baada ya kimbunga freddy kuua watu 225
Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ametangaza siku 14 za maombolezo baada ya kimbunga freddy kuuwa zaidi ya watu 225.  pia ameagiza Bendera kupepea nusu mlingoti kwa si...
13
Shule zafungwa kwasababu ya kimbunga Freddy
Mamlaka nchini Malawi imefunga shule katika wilaya 10 kutokana na wasiwasi wa usalama baada ya Kimbunga Freddy kusababisha uharibifu katika nchi jirani ya Msumbiji. Mvua kubwa...
03
Shule zafungwa kutokana na kuongezeka kwa kipindupindu, Malawi
Shule katika miji miwili mikubwa nchini Malawi zitasalia kufungwa hadi wakati usiojulikana kutokana na mripuko wa kipindupindu unaoendelea kuwa mbaya zaidi. Wanafunzi walitara...

Latest Post