27
Tanzania, kenya na uganda kuandaa AFCON 2027
Rasmi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limepitisha mataifa ya Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa michuano ya Afcon 2027. Kamati ya Utendaji CAF imetangaza uamuzi huo leo nchini ...
19
Bahati Kenya alia na Genius Jini x66 kufuta wimbo wake mpya
Msanii kutoka nchini Kenya, Bahati kupitia Instagram yake ame-share screenshoot kutoka katika mtandao wa YouTube ikionesha kuwa wimbo wake mpya wa 'Huyu' kuwa umefutwa kwa sab...
29
Akothee akataa kushirikishwa vita aliyoanzisha Khaligraph
Mwanamuziki kutoka #Kenya, #Akothee, awakataa wakenya wenzake waache kum-tag kwenye kauli zao za kudhihaki muziki wa Tanzania. Akothee amekataa kuingilia vita hiyo ya kumuziki...
27
Msanii wa Kenya Tenball amjia juu Khaligraph, aikingia kifua Tanzania
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya, #Tenball amjia juu msanii mwenzake #Kaligraph kutona na kujiona bora kuliko wasanii wa Tanzania, ...
25
Eric Omondi kuingia live siku nne mfululizo bila kulala
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Erick Omondi ameeleza kuwa atatumia siku nne mfululizo bila kulala kuanzia siku ya leo Ijumaa saa mbili usiku hadi Jumatatu, ataingia live kwen...
24
Otile atangaza kuacha muziki ‘albamu’ yake isipofanya vizuri
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya Otile Brown ameweka wazi kuwa ataacha muziki endapo albamu yake anayotarajia kutoa isipofika angal...
08
Wasanii na mavazi ya ajabu
Kawaida maisha ya baadhi ya wasanii ambayo wanayaonesha kwenye mitandao ya kijamii huwa ya kustaajabisha, kumekuwa na ubunifu wa vitu mbalimbali ambavyo wanavifanya kwenye upa...
05
Mashabiki wakimbilia tiketi kuwaaga Sauti Soul
‘Tiketi’ za tamasha la SOL Fest ambalo linatarajiwa kufanyika November 4, Uhuru Gardens nchini Kenya zimeisha.Tamasha hilo ambalo maalumu na litakuwa la mwisho kuf...
26
Bahati: Nyimbo za Diamond zanafanya vizuri Kenya
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya #Bahatikenya amewajibu watu waliomjia juu kuhusu ujumbe wake aliyoandika hivi karibuni akizungumzia muziki wa Tanzania kupigwa na kupata mshabi...
23
Mandonga apokea kichapo Kenya
Bondia Karim Mandonga  akili kupokea kipigo kutoka kwa Bingwa wa Zamani wa Mkanda wa #Africa Boxing Union (ABU), Daniel Wanyonyi kutoka nchini Kenya. Wanyonyi amemdunda #...
14
Eric Omondi atua Uganda na vazi la gunia
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Eric Omondi, ameendelea kuwafurahisha watu kwa aina ya ubunifu wa  mavazi anayotumia kuingilia kwenye nchi mbalimbali, awamu hii Eric yupo...
12
Daladala alilopanda Odinga lapata umaarufu
Waswahili wanasema mgeni njoo mwenyeji apone, msemo huu umesaidiki, kupitia kijana David Murage ambae amejipatia umaarufu kwa siku tu baada ya kumsafirisha kiongozi wa Muungan...
12
Jenerali Koome apiga marufuku maandamano, Kenya
Mkuu wa polisi nchini Kenya Inspekta jenerali Japhet Koome amepiga marufuku wafuasi wa upinzani kuitisha maandamano haramu leo Jumatano kufuatia wimbi la hasira juu ya ongezek...
12
Madereva Kenya waingia Tanzania kununua mafuta
Wamiliki wa magari pamoja na waendesha boda boda katika mji wa mpakani wa Namanga wanaendelea kuingia nchini Tanzania ili kununua mafuta ya bei rahisi kulingana na gazeti la N...

Latest Post