Rasmi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limepitisha mataifa ya Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa michuano ya Afcon 2027.
Kamati ya Utendaji CAF imetangaza uamuzi huo leo nchini ...
Msanii kutoka nchini Kenya, Bahati kupitia Instagram yake ame-share screenshoot kutoka katika mtandao wa YouTube ikionesha kuwa wimbo wake mpya wa 'Huyu' kuwa umefutwa kwa sab...
Mwanamuziki kutoka #Kenya, #Akothee, awakataa wakenya wenzake waache kum-tag kwenye kauli zao za kudhihaki muziki wa Tanzania.
Akothee amekataa kuingilia vita hiyo ya kumuziki...
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Erick Omondi ameeleza kuwa atatumia siku nne mfululizo bila kulala kuanzia siku ya leo Ijumaa saa mbili usiku hadi Jumatatu, ataingia live kwen...
Kawaida maisha ya baadhi ya wasanii ambayo wanayaonesha kwenye mitandao ya kijamii huwa ya kustaajabisha, kumekuwa na ubunifu wa vitu mbalimbali ambavyo wanavifanya kwenye upa...
‘Tiketi’ za tamasha la SOL Fest ambalo linatarajiwa kufanyika November 4, Uhuru Gardens nchini Kenya zimeisha.Tamasha hilo ambalo maalumu na litakuwa la mwisho kuf...
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya #Bahatikenya amewajibu watu waliomjia juu kuhusu ujumbe wake aliyoandika hivi karibuni akizungumzia muziki wa Tanzania kupigwa na kupata mshabi...
Bondia Karim Mandonga akili kupokea kipigo kutoka kwa Bingwa wa Zamani wa Mkanda wa #Africa Boxing Union (ABU), Daniel Wanyonyi kutoka nchini Kenya.
Wanyonyi amemdunda #...
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Eric Omondi, ameendelea kuwafurahisha watu kwa aina ya ubunifu wa mavazi anayotumia kuingilia kwenye nchi mbalimbali, awamu hii Eric yupo...
Waswahili wanasema mgeni njoo mwenyeji apone, msemo huu umesaidiki, kupitia kijana David Murage ambae amejipatia umaarufu kwa siku tu baada ya kumsafirisha kiongozi wa Muungan...
Mkuu wa polisi nchini Kenya Inspekta jenerali Japhet Koome amepiga marufuku wafuasi wa upinzani kuitisha maandamano haramu leo Jumatano kufuatia wimbi la hasira juu ya ongezek...
Wamiliki wa magari pamoja na waendesha boda boda katika mji wa mpakani wa Namanga wanaendelea kuingia nchini Tanzania ili kununua mafuta ya bei rahisi kulingana na gazeti la N...