22
Mwanariadha wa Kenya atunukia cheti na Guinness
Mwanariadha kutoka nchini Kenya aitwaye Peres Jepchirchir amevunja rekodi ya dunia ya ‘Guinness World Record’ kwa upande wa wanawake kwa kukimbia mbio ndefu za Lon...
12
Mwanariadha Kenya afariki dunia
Mwanariadha wa mbio ndefu kutoka nchini Kenya, Kelvin Kiptum na ‘kocha’ wake raia wa Rwanda, Garvais Hakizimana wamefariki dunia kwa ajali ya gari, jana Jumapili k...
17
Twiga mweupe anayelindwa nchini Kenya
Twiga pekee mwenye rangi mweupe duniani anapatikana Kaskazini Mashariki ya Kenya Garissa, amefungwa kifaa maalumu cha kufuatilia mienendo yake ya kila siku ili kumlinda dhidi ...
29
Khaligraph amtaka 50 Cent atue Kenya
 Kufuatiwa na post ya ‘rapa’ kutoka nchini Marekani 50 Cent kuuliza mashabiki ni sehemu gani aanze kwenda ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya ‘Final La...
09
Kenya yaongoza kwa ukarimu Afrika
Kwa mujibu wa shirika la kutoa misaada la kibinadamu la The Charities Aid Foundation (CAF) imetaja kuwa Kenya ndiyo nchi inayoongoza kwa ukarimu Afrika. Ambapo imetajwa kuwa n...
05
Mwanamke aliye kula nauli ya mpenzi wake apigwa faini
Mahakama nchini #Kenya imemuadhibu mwanamke mmoja (jina limehifadhiwa) kulipa faini ya Ksh 40,000 (Sh666,165) baada ya kukutwa na hatia ya kuchukua Ksh 800 (Sh13,332) ya mpenz...
13
Wakili bandia aliyeshinda kesi 26 akamatwa
Mamlaka nchini Kenya imemkamata wakili bandia, Brian Mwenda Njagi, ambaye amekuwa akijitangaza kwa uongo kama Wakili wa Mahakama Kuu ya Kenya.Chama cha Wanasheria cha Kenya (L...
04
Ugonjwa wa ajabu wawakumba wanafunzi wa kike Kenya
Ugonjwa wa ajabu wa maumivu katika magoti na kushindwa kutembea umewakumba wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Eregi iliyopo Kaunti ya Kakamega nchini Kenya ambapo...
27
Tanzania, kenya na uganda kuandaa AFCON 2027
Rasmi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limepitisha mataifa ya Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa michuano ya Afcon 2027. Kamati ya Utendaji CAF imetangaza uamuzi huo leo nchini ...
19
Bahati Kenya alia na Genius Jini x66 kufuta wimbo wake mpya
Msanii kutoka nchini Kenya, Bahati kupitia Instagram yake ame-share screenshoot kutoka katika mtandao wa YouTube ikionesha kuwa wimbo wake mpya wa 'Huyu' kuwa umefutwa kwa sab...
29
Akothee akataa kushirikishwa vita aliyoanzisha Khaligraph
Mwanamuziki kutoka #Kenya, #Akothee, awakataa wakenya wenzake waache kum-tag kwenye kauli zao za kudhihaki muziki wa Tanzania. Akothee amekataa kuingilia vita hiyo ya kumuziki...
27
Msanii wa Kenya Tenball amjia juu Khaligraph, aikingia kifua Tanzania
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya, #Tenball amjia juu msanii mwenzake #Kaligraph kutona na kujiona bora kuliko wasanii wa Tanzania, ...
25
Eric Omondi kuingia live siku nne mfululizo bila kulala
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Erick Omondi ameeleza kuwa atatumia siku nne mfululizo bila kulala kuanzia siku ya leo Ijumaa saa mbili usiku hadi Jumatatu, ataingia live kwen...
24
Otile atangaza kuacha muziki ‘albamu’ yake isipofanya vizuri
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya Otile Brown ameweka wazi kuwa ataacha muziki endapo albamu yake anayotarajia kutoa isipofika angal...

Latest Post