18
Portable amtolea povu Davido
Mwanamuziki wa Nigeria, #Portable, amemtolea povu mkali wa Afrobeat Davido kwa kudai kuwa msanii huyo alimtumia vibaya kwa ajili ya kutafuta umaarufu na kumuacha bila msaada w...
26
Diddy bado yupo Marekani
Baada ya vyombo vya habari mbalimbali nchini Marekani kudai kuwa mwanamuziki Diddy amekimbilia katika visiwa vya Caribbean, baada ya kuonekana katika uwanja wa ndege wa Opa-Lo...
11
Safari ya AFCON yaingia doa, Wakosa hewa kwenye ndege
Wachezaji na wafanya kazi wa ‘Timu’ ya Taifa #Gambia wakosa hewa walipokuwa kwenye ndege wakielekea Ivory Coast katika mashindano ya AFCON 2023. Inaelezwa kuwa wac...
07
Ndege yatua kwa dharura baada ya sehemu ya ubavu kutoka
Ndege kutoka Shirika la #Alaska iliyokuwa ikisafiri kutokea Jimbo la Oregon kuelekea California nchini Marekani, siku ya Ijumaa usiku ililazimika kutua kwa dharura baada ya se...
27
KFC yafunga migahawa yake Lesotho
Mgahawa maarufu ya vyakula vya haraka duniani KFC imelazimika kufunga matawi yote Lesotho baada ya kupiga marufuku bidhaa za kuku kutoka nchi jirani ya Afrika Kusini ambayo in...
11
Rasco: Mashabiki wanapenda wasanii wagombane, sijam-diss Moni Centrozone,
Mwanamfalme Rasco Sembo, akizungumzia kuhusiana na suala la wasanii wa Hiphop kufanya diss kwenye mistari yao, huku nakidai kuwa b...
09
Biden aagiza mashirika ya ndege kuanza kulipa fidia
Rais wa Marekani, Joe Biden, ameagiza wizara ya uchukuzi kuandika kanuni mpya zitakazo yalazimu mashirika yote ya ndege kugharamia chakula na malazi ikiwa kwa uchelewaji au ug...
07
Serikali kugharamia mazishi ya miili 19 ya ajali ya Ndege
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hayo wakati wa kuaga miili 19 ya Watu waliofariki katika ajali ya Ndege ya Precision Air iliyotokea katika Ziwa Victoria, Mkoani  Kag...
07
Waliofariki ajali ya Ndege kuagwa uwanja wa Kaitaba
Taarifa kutoka Kagera ambapo Miili ya Watu 19 waliofariki katika ajali ya ndege ya Precision Air inatarajiwa kuagwa leo Novemba 7, 2022 kwenye Uwanja wa Kaitaba, Bukoba Mkuu ...

Latest Post