15
Avuruga mipango ya wapendanao siku ya Valentine
Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina lake kutoka nchini China amefuvuruga mipango ya wapendanao katika sikukuu ya Valentine, Februari 14, baada ya kuwakataza kuketi pamoja ...
06
Chino Kidd amvaa tena Marioo, Amtaja Baba Levo
Kutokana na mambo yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii yakimhusisha mwanamuziki na dansa Chino Kidd kuwa kwenye mgogoro na bosi wake wa zamani Marioo, mkali huyo amefunguk...
17
Mtu mrefu zaidi duniani alivyoteseka na mapenzi
Sultan Kosen ambaye ni mkulima kutoka nchini Uturuki kwa sasa ndiye anashikilia rekodi ya kuwa mwanadamu mrefu zaidi duniani. Kosen ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 41 anataj...
11
Kendrick aondoka na 4G kwenye Bet Hip- Hop Award 2023
Msanii wa Hip-hop kutokea nchini Marekani, Kendrick Lamar ameonekana kinara wa Hip-hop kwa mwaka 2023, hilo limethibitika siku ya jana kupitia BET Hip hop Awards baada ya kush...
05
Jinsi ya kupika halfcake kwa ajili ya biashara
Wengi wetu tunachukulia kupika halfcake ni jambo gumu lakini leo nimekuja kuvunja kauli hiyo kwa kuwaonesha na kuelekezana jinsi ya kutengeneza kitafunwa hicho ambacho wengi w...
21
Rushaynah : Harmonize sio mpenzi wangu
Baada ya video na picha za aliyekuwa mke wa Haji Manara, Rushaynah na Harmonize kusambaa kwenye mitandao ya kijamiii, huku wengi wakidai kuwa wawili hao huwenda wakawa wapenzi...
19
Rasmi Wolper aweka wazi sura ya mtoto wake
Mwanadada #JacklineWolper  baada ya kuficha kwa muda mrefu sura ya mtoto wake, hatimae ameshindwa kuvumilia na kuionyesha sura ya mtoto huyo, kwa ku-post picha kwenye uku...
14
vijiji vyote Tanzania bara vitapata umeme kufikia desemba 2023
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini REA, Hassan Said, amesema Mradi mkubwa unaoendelea wa Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili utapeleka huduma ya ...

Latest Post