03
Raia wamkataa mshiriki wa Miss South Africa
Wananchi wa Afrika Kusini wamezua gumzo mitandaoni baada ya kumkataa Chidimma Adetshina kushiriki ‘Miss Afrika Kusini’ kwa kudai kuwa mrembo huyo ni raia wa Nigeri...
05
Tanzania yachaguliwa kufanya filamu na South Korea
Tanzania imechaguliwa kuwa nchi ya kwanza Africa kufanya filamu na South Korea kwa ajili ya kuunganisha soko la filamu la Tanzania na Korea.Hayo yameelezwa kupitia ukurasa wa ...
18
Tems, Travis kwenye album ya Tyla
Mwanamuziki kutoka South Africa, Tyla tayari ameachia listi ya nyimbo ambazo zipo kwenye albumu yake ambapo mwanamuziki Tems pamoja na Travis Scott wakiwa ni miongoni mwa wasa...
14
Tyla aachia kionjo cha ngoma yake mpya
Mwanamuziki kutoka South Africa, Tyla ameachia kionjo cha ngoma yake mpya ambayo itakuwa katika album yake inayotarajiwa kutoka Ijumaa ya tarehe 22 mwaka huu.Kupitia ukurasa w...
07
Zari na shakibi wamaliza tofauti zao
Baada ya kuzuka sintofahamu kwa wanandoa Zari pamoja na mumewe Shakibi kuwa wameachana, wawili hao wamethibitisha kuwa wapo pamoja baada ya kuonekana Saudi Arabia.Kupitia ukur...
24
Mume wa Zari afungasha virago, arudi Uganda
Aliyekuwa mume wa mfanyabiashara Zari Hassan, Shakibi Lutaaya anadaiwa kufungasha virago vyake na kurudi nchini Uganda.Hii inakuja baada ya kusambaa kwa stori kupitia mitandao...
08
Afariki dunia akishuhudia afcon
Inadaiwa kuwa mwanasiasa kutoka nchini Nigeria Dkt. Cairo Ojougboh, alifariki dunia siku ya jana Februari 7, wakati akishuhudia mchezo wa nusu fainali ya #AFCON, Nigeria dhidi...
17
Tyla aachia remix ya water
Wimbo wa mwanamuziki kutoka nchini South Africa, #Tyla wa ‘water’ ambao ulionekana kwenye #Billboard Hot 100 mwezi uliopita, hatimaye umetolewa remix ambayo amemsh...
05
Video ya Unavailable yaendelea kukimbiza
Video ya wimbo wa ‘Unavailable’ ya mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria, #Davido  imefikisha watazamaji milioni 70 kwenye mtandao wa YouTube. Video hiyo yenye m...
11
Wimbo wa Tyla waiinua S.Africa Billboard Hot 100
Wimbo maarufu wa Water wa mwimbaji kutoka South Afrika, Tyla umeanza kuonekana kwenye Billboard Hot 100, baada ya ku-trend kwa wiki kadhaa kupitia mtandao wa TikTok. ‘Wa...
26
Tems awaziba midomo waliosema ni mjamzito
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na msanii kutoka chini  Nigeria kudaiwa kuwa na ujauzito wa Future, hatimaye ameendelea kuwaziba midomo na kukanusha uvumi huo baada ya k...
22
Wanafunzi walazwa baada ya kula keki zenye bangi
Wanafunzi wasiopungua 90 wa shule ya msingi Soshanguve iliyopo South Africa, wamelazwa hospitali baada ya kula ‘keki’ zinazodaiwa kuchanganywa na bangi.Kwa mujibu ...
22
Kocha wa Kaizer Chiefs ashambuliwa na mashabiki
Wadau na mashabiki wa ‘timu’ ya Kaizer Chief kutoka South Africa wamemshambulia ‘kocha’ Molefi Ntseki, baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Super Sport Un...
13
Diamond: Sijawa msanii kwa bahati mbaya, punguzeni uchambuzi
Baada ya baadhi ya watu kumsema vibaya Diamond kuhusiana na wimbo wake wa ‘Shu’ kuwa hautofika mbali wala kufanya vizuri, Simba ameendeleza mashambulizi kwa kutoli...

Latest Post