25
Walimu waruhusiwa kuingia na bunduki shuleni
Wabunge wa jimbo la Tennessee nchini Marekani wamepitisha mswada wa kuwaruhusu walimu na wafanyikazi wengine wa shule kubeba bunduki shuleni siku ya Jumanne. Imeelezwa kuwa wa...
02
Aliyekosa nafasi ya urais 2022 achomwa kisu
Kiongozi wa Upinzani nchini Korea Kusini amechomwa kisu katika mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika katika mji wa Busan nchini humo. Taarifa iliyotolewa na Shirika ...
23
Zuchu: sijali mtu akisema ngozi yangu
Baada ya nyota wa muziki #Zuchu kushambuliwa na watu kwenye mitandao ya kijamii kuhusu ngozi yake kuwa na  madoa, huku wingine wakimtolea maneno ili  aweke ngozi yak...
20
Mashambulizi ya mashabiki kwa Diamond, Alikiba aingia kati
Baada ya mtu mzima #Diamond kupata mashambulizi ya ku-copy asilimia kubwa ya nyimbo za wasanii wengine kutoka nje ya nchi, #Simba hakutaka kulikalia kimya swala hilo, na kuanz...
22
Watu 7 wauwawa katika shambulio, Somalia
Takriban watu saba wameuwawa siku ya jana wakati magari mawili yaliyobeba mabomu kulipuka nje ya kambi ya mafunzo ya kijeshi katika mji wa Bardhere, kusini mwa Somalia. Moja y...
05
Saba wakamatwa wakipanga shambulio la kigaidi
Polisi kutoka nchini Ubelgiji, wamewakamata takribani watu saba siku ya alhamisi wanaoshukiwa kulisaidia kundi la Islamic State, na njama ya shambulizi la kigaidi kwa mujibu w...
21
Zaidi ya Wanajeshi 40 wa Burkina Faso wauwawa kwenye shambulizi
Wanajeshi wasiopungua 51 wa Burkina Faso wameuwawa katika shambulizi la kustukiza lililotokea eneo la kaskazini mwa nchi hiyo linalofahamika kwa hujuma kubwa za makundi ya iti...
22
Ofisi za gazeti la Uingereza "The Guardian" zapata shambulizi la kimtandao
Ofisi za gazeti kongwe duniani la The Guardian nchini Uingereza zimepata shambulio la kimtandao ambapo shambulio hilo limeleta mad...
09
14 wafariki dunia katika shambulizi Syria
Shirika linalofuatilia haki za binadamu nchini Syria limesema watu 14 wamefariki dunia baada ya shambulizi kufanywa katika msafara wa kijeshi wa waasi wanaoungwa mkono na Iran...
20
Shambulizi la Al-Shabaab laua watu wawili,Somalia
Watu wawili akiwemo mwanajeshi mmoja wamekufa katikati mwa Somalia kufuatia shambulio la kujitoa muhanga lililofanywa jana na kundi la kigaidi la Al-Shabaab, kundi lenye mafun...

Latest Post