18
P Diddy anyimwa dhamana kesi ya uhalifu wa kingono
Mwanamuziki wa Marekani, Sean "Diddy" Combs, anayekabiliwa na mashtaka ya uhalifu wa kingono, anaendelea kuzuiwa kutoka mahabusi hadi kesi yake itakaposikilizwa tena.Hakimu wa...
16
Kwanini Afrobeats inapenya kuliko Bongo Fleva
Ni muda sasa kumekuwa na mijadala kwanini muziki wa Afrobeats unazidi kupenya na kupata hadhi kubwa duniani ukilinganisha na aina nyingine za muziki kutokea barani Afrika ikiw...
13
Bautista afunguka kilichofanya akonde
Baada ya kusambaa kwa picha za mwigizaji na nyota wa WWE, Dave Bautista zikimuonesha kapungua mwili tofauti na alivyokuwa awali, hatimaye mwigizaji huyo amefichua sababu za ku...
12
Mwaka mmoja tangu Mohbad afariki dunia
Tarehe kama ya leo mashabiki wa aliyekuwa mwanamuziki nchini Nigeria Ilerioluwa Aloba, 'MohBad', waligubikwa na huzuni baada ya kupokea taarifa ya kifo cha msanii huyu kilicho...
10
Enzi za uhai wake hakuchoka kuitumikia Tasnia ya filamu
Mwigizaji wa Marekani, James Earl Jones ambaye alipata umaarufu kupitia filamu kama ‘Coming to America’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 93.Taarifa ya kifo c...
04
Hivi hapa vipengele vya wanaowania tuzo za TMA
Ikiwa jana Septemba 3, 2024 dirisha la kuwapigia kura wasanii watakaowania Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) lilifunguliwa, hivi ndivyo vipengele 17 vinavyoshindaniwa ambavyo vime...
04
Kuachana kwa Cardi B na Offset hakuzuii watoto kufurahi
Mwanamuziki wa Marekani Cardi B na mumewe Offset wameripotiwa kuonekana pamoja wakifurahia siku ya kuzaliwa ya mtoto wao siku chache zilizopita licha ya wawili hao kuwasilisha...
27
Diddy akanusha tuhuma zinazomkabili
Mkali wa hip-hop kutoka Marekani Diddy amekanusha tuhuma zote zilizotolewa na aliyekuwa producer wake Rodney “Lil Rod” Jones akidai kuwa producer huyo alizitoa kwa...
23
Utafiti: Mabishano ya utotoni yanafaida ukubwani
Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na Chuo Kikuu cha Cambridge umebaini kuwa ugomvi wa watoto waliofuatana unaweza kuwanufaisha hapo baadaye.Utafiti huo uligundua kwamba mabish...
17
Carl Weathers kutunukiwa nyota ya heshima
Marehemu mwigizaji kutoka Marekani Carl Weathers ameripotiwa kutunukiwa nyota ya heshima kutoka ‘Hollywood Walk of Fame’ wiki ijayo, kufuatia na mchango wake katik...
14
Kundi la Hakuna Matata lafuata nyayo za Ramadhani Brothers
Kundi la waruka sarakasi kutoka Tanzania liitwalo ‘Hakuna Matata Acrobats’ wanaendelea kufuata nyayo za ‘Ramadhan Brothers’, hii ni baada ya kutua kwa ...
09
Magoma akwaa kisiki kesi dhidi ya Yanga, aamriwa kulipa gharama
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu Klabu ya Dar es Salaam Young Africans Sports kufanya mapitio ya marejeo ya shauri la madai namba 187/2022 lililofunguliwa na Juma Mag...
03
Cardi B athibitisha kuwa ujauzito ni wa Offset
Baada ya kuwepo na minong’ono kupitia mitandao ya kijamii ambayo baadhi ya mashabiki wakitaka kujua ujauzito aliyonao Cardi B ni wanani, sasa msanii huyo ameweka wazi ku...
02
Mpango wa Cardi B kutoa albamu upo pale pale
Baada ya kutangaza kupeleka shauri mahakamani la kudai talaka pamoja na kuweka wazi kuwa anatarajia kupata mtoto wa tatu ‘rapa’ Cardi B anaripotiwa kuendelea na mp...

Latest Post