06
Wanasayansi waunda Nzi kwa kutumia kinyesi cha Binadamu
Timu ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Macquarie cha Australia wameanza harakati kukabiliana na janga la taka duniani ambapo wameamua kuunda Nzi kwa kutumia kinyesi mwenye ...
11
NASA na mpango wa kujenga reli kwenye mwezi
Wafanya utafiti wa anga kutoka Marekani The National Aeronautics and Space Administration (NASA) wametangaza mipango ya kujenga reli kwenye mwezi ifikapo mwaka 2030.Mradi huo,...
20
Azam wainasa saini ya beki wa Mali
‘Klabu’ ya #AzamFC imefikia makubaliano na akademi ya Yeleen Olympique ya nchini Mali kwa ajili ya kumnunua mchezaji wa kimataifa wa nchi hiyo, Yoro Mamadou Diaby....
08
Pochi nyepesi zaidi duniani yazinduliwa
Chapa maarufu kutoka Paris ‘Fashion house Coperni’ imeripotiwa kutengeneza pochi nyepesi zaidi duniani ambayo inauzito wa gramu 33, iliyooneshwa kwa mara ya kwanza...
24
Utafiti: Zabibu zinasaidia kupunguza magonjwa ya moyo
Utafiti uliofanywa na ‘The Journals of Gerontology’ wanasayansi wanaojihusisha na masuala ya uzee, unapendekeza kula matunda aina ya Zabibu mara kwa mara kwa ajili...
06
Utafiti: Kufunga kunafanya watu wawe na afya njema
Utafiti uliofanywa na Chuo cha Cambridge umeeleza kuwa kufunga mara kwa mara kunawaongezea binadamu uzalishaji wa mafuta muhimu na kusababisha kuwa na afya njema na kupunguza ...
22
Kuna Wanamuziki, Madijei, Mashabiki na muziki
Wanamuziki wanawaza chapaa, mkwanja, faranga, njuruku, mapene, mawe, ukwasi, fuba na maneno yote yanayomaanisha pesa, fedha au shilingi. Wanavuja jasho kwenye kila kitu kinach...
25
NASA imenasa mti wa Chrismas angani
NASA imenasa picha ya Miti ya Chrismas inayojulikana kitaalamu kama NGC 2264, iliyoko takribani miaka 2,500 kutoka Duniani. Muonekano wa miti hiyo inatokana na nyota ndogo na ...
31
Saudi Arabia kuandaa kombe la dunia 2034
Imeripotiwa kuwa nchini #SaudiArabia, wataandaa Kombe la Dunia la 2034, baada ya #Australia kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kuandaa mashindano hayo. Inaelezwa kuwa nchi hi...
25
Mwizi akamatwa baada ya kujifanya mdoli kwenye duka la nguo
Kijana wa Kipoland mwenye umri wa miaka 22 ambaye hajafahamika jina lake anashikiliwa na polisi baada ya kubainika akijifanya mdoli (mannequin) wa kuwekea nguo dukani, kwa len...
08
Tylor na Travis penzini
Nyota wa soka la NFL Travis Kelce na mwanamuziki Taylor Swift wamekuwa katika vichwa vya habari kwa wiki nzima ikidaiwa kuwa wawili hao wako katika mahusiano ambayo yanakuwakw...
26
Davido anaishi kwa mashaka, Camera zamnasa akikataa chakula
Baada ya siku kadhaa ‘kamera’ kumnasa msanii kutoka nchini Nigeria Davido kukataa maji kwenye maandamano ya kudai haki ya aliyekuwa msanii marehemu MohBad, kwa mar...
21
Terry Crews akoshwa na Ramadhani Brothers
Mwigizaji na mtangazaji maarufu kutoka nchini Marekani amevutiwa na performance ya wanasarakasi kutoka Tanzania Ramadhani Brothers, iliyowapelekea kufika hatua ya ‘faina...
21
Wanasarakasi wa Tanzania wang’ara America Got Talent
Wanasarakasi kutoka nchini Tanzania Ramadhani Brothers wamefanikiwa kuingia hatua ya ‘fainali’ katika shindano la America’s Got Talent msimu wa 18 nchini Mar...

Latest Post