Mwanamuziki Diamond Platnumz ametajwa kuwa msanii wa kwanza Afrika Mashariki na Kusini kufikisha stream milioni 500 kwenye mtandao wa kusikiliza na kuuza muziki Boomplay.Rekod...
Msanii wa R&B kutokea Marekani, Shaffer Chimere Smith maarufu kama Ne-Yo amethibitisha kuwa yuko kwenye mahusiano ya kimapenzi na wanawake wengi akiwatambulisha wanawake z...
Olipa Assa, MwananchiDar es Salaam. Msanii wa Bongo Fleva wa miondoko ya R$B, Ben Pol anatarajia kuachia wimbo aliofanya na DJ Don Diablo kutoka Ulaya.Mwaka 2016 Diablo alichu...
Mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Dude ametoa neno baada ya mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga na Simba iliyokuwa imepangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025 kwenye Uwanj...
Mkali wa Afrobeat, Davido ameripotiwa kuwa msanii pekee kutoka Afrika kutajwa katika orodha ya muziki ya Mfalme Charles III.Akishirikiana na Apple Music, Mfalme Charles III al...
Filamu ya mwanamuziki kutoka Canada, The Weeknd iliyopewa jina la ‘Hurry Up Tomorrow’ imeripotiwa kutoka na kuanza kuoneshwa katika kumbi za sinema Mei 16,2025.Fil...
Rapa Offset amepanga kutumbuiza katika tamasha litakalo fanyika Moscow, nchini Urusi licha ya lebo inayomsimamia Universal Music kusitisha kufanya shughuli za muziki nchini hu...
Zikitajwa nyimbo kumi za Bongo zenye mafanikio makubwa, lazima jina la mzalishaji muziki S2kizzy litajwe. Hii ni kutokana na mkali huyo kuhusika kwenye kutengeneza nyimbo nyin...
Moja ya tukio ambalo limeibua maoni mengi katika mitandao ya kijamii wikiendii iliyopita ni kuhusiana na maneno ya mmoja wa mtayarishaji wa muziki na jaji katika mashindano ya...
Kawaida tasnia ya muziki inaambatana na masuala ya fasheni na mitindo. Na hii ni kutokana na mchango wa mwonekano katika katika kukuza brand ya msanii.
Hii imejionesha k...
Je, wajua kuwa video tisa za muziki Tanzania ambazo zimetazamwa zaidi ya mara milioni 100 katika mtandao wa YouTube, saba kati ya hizo zimeongozwa na Director mmoja ambaye ni ...
Usiku wa kuamkia leo Machi 3, 2025 limefanyika tukio la ugawaji wa tuzo kubwa duniani za Filamu za Oscar katika Ukumbi wa Dolby Theatre Ovation, Hollywood Los Angeles. Tuzo hi...
Mshambuliaji nyota wa Yanga, Mzambia, Kennedy Musonda hachezi mpira tu, lakini amekuwa akiwafuatilia wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini na kuwataja watatu kati yao kuwa ...
Ikiwa leo siku ya kwanza ya mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan staa wa muziki Harmonize ametumia mwezi huu wa toba kuwaomba msamaha watu wote aliopishana nao kwa namna moja a...