30
Mashabiki washambulia basi la wachezaji kwa mawe
‘Mechi’ kati ya ‘klabu’ ya #OlympiqueMarseille dhidi ya ‘klabu’ ya #OlympiqueLyon imeghairishwa baada ya basi la Lyon kushambuliwa kwa mawe...
29
Marekani, Mexico zaonya kuhusu mlipuko wa fangasi
Nchi ya Marekani na Mexico zimelitaka shirika la Afya Duniani (WHO) kutangaza dharura ya afya ya umma kutokana na mlipuko wa fangasi ya uti wa mgongo unaohusishwa na shughuli ...
22
Kipindupindu chauwa 10, Afrika kusini
Idara ya afya jimbo la Gauteng kutoka nchini Afrika Kusini siku ya jana Jumapili ilitangaza visa vipya 19 vya Kipindupindu ikiwa ni pamoja na vifo 10, katika mji wa Hamman-skr...
11
Tisa wafariki kutokana na mlipuko wa ugonjwa usiyojulikana, Kenya
Watu tisa wamefariki na wengine zaidi ya 80 kulazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa usiojulikana katika kaunti ya Marsabit kaskazini mwa Kenya. Msimamizi wa eneo hi...
04
Zelensky akanusha kutaka kumshambulia Putin
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekanusha kuwa nchi yake haikufanya shambulio linalodaiwa kuwa ni la ndege isiyokuwa na rubani dhidi ya Kremlin, ambapo Urusi inasema lilik...
09
Indonesia, watu sita wamefariki baada ya mlipuko uliotokea mgodini
Watu 6 nchini Indonesia wamekufa na wengine wawili wamejeruhiwa leo baada ya mlipuko uliyosababishwa na gesi kwenye mgodi wa makaa ya mawe Magharibi mwa Indonesia katika mkoa ...
12
Wanaohusika na mlipuko wa daraja washikiliwa na idara ya usalama Urusi
Idara ya Usalama ya kitaifa nchini Urusi, FSB imesema imewaweka kizuizini raia watano wa Urusi, watatu wa Ukraine na mmoja wa Arme...

Latest Post