Dickson Marangach Aliyekuwa mpenzi wa mwanariadha wa Olimpiki wa Uganda, Rebecca Cheptegei amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.Marangach alifariki dunia akiwa katika Chumba c...
Mwanariadha kutoka Uganda wa mbio za Marathon, Rebecca Cheptegei amefariki dunia leo hii Septemba 5, 2024 wakati akipatiwa matibabu ya majeraha aliyoyapata baada ya kumwagiwa ...
Msanii mkongwe wa Taarab nchini Tanzania, Mwanahawa Ally, ameamua kuacha kuimba kutokana na maradhi yanayomsumbua.Hayo yamebainishwa na Zamaradi Mketema wakati akizungum...
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Ayra Starr ameendelea kushika vichwa vya habari baada ya kuonekana Rihanna wakiwa matembezi pamoja.Kwa mujibu wa baadhi za tovuti zinaeleza ku...
Mwanamuziki maarufu kutoka Nigeria Paul Nonso Okoye ‘Rudeboy’ amethibitisha kuwa kundi la P-Square limegawanyiuka kwa mara nyingine.Tudeboy amelithibitisha kusamba...
Na Aisha Charles
Safari moja huanzisha nyingine, ndivyo ilivyo kwa mchezaji dansi Set Fibby, maarufu kama Mrs Energy, baada ya kuamua kujikita katika muziki wa Bongo Fleva, ha...
Waandaaji wa Tuzo za BET wamemuomba radhi mkali wa R&B Usher baada ya hotuba yake kutosikika kwa mashabiki walioko majumbani.
BETiliomba radhi kwa mshindi huyo mara nane w...
Mwanamuziki wa #BongoFleva #Nandy, amesimulia harakati zake za kupambania ndoto zake za kuwa msanii maarufu huku akidai kuwa kuna msanii kutoka kundi la THT alikuwa akimbania....
Mmoja kati ya wamiliki wa klabu ya Inter Miami, #DavidBeckham imeripotiwa kuwa yupo katika mazungumzo na wawakilishi wa beki wa #ManchesterUnited, #RaphaelVarane kwa ajili ya ...
Mwigizaji kutoka nchini India, #PriyankaChopra amempa pongezi mumewe #NickJonas na watu wengine walioshiriki kumlea binti yake Malti kwa wakati alipiokuwa katika kazi yake ya ...
Ikiwa zimepita siku chache tuu tangu mwanamuzika wa Marekani, Justin Timberlake kukamatwa na polisi akiwa amelewa, msanii huyo ametumbuiza kwa mara ya kwanza katika tamasha la...
Waswahili husema kuishi kwingi, kuona mengi, pasi na shaka kauli hii inaendana na maajabu ya mti unaotiririsha maji.
Wengi wamezoea kuona miti ikipandwa, ikikua, ikikauka na m...
Baada ya mwanamuziki KanyeWest na mkewe Bianca Censori kutokuwa kwenye maelewano mazuri kwa hivi karibuni, marafiki wa mwanamke huyo wanadai kuwa Kanye anamchukulia mkwewe kam...
Mwanamuziki wa Marekani Celine Dion ambaye anasumbuliwa na ugonjwa adimu wa Stiff Person Syndrome (SPS), tangu mwaka 2022 ameripotiwa kupanga kutumbuiza kwa mara ya mwisho kat...