17
Diddy akalia kuti kavu, polisi wamdaka
Mkali wa Hip Hop kutoka Marekani Diddy ameripotiwa kukamatwa na polisi New York kufuatia tuhuma za kujihusisha na unyanyasaji wa ngono na biashara za madawa ya kulevya.Kwa muj...
14
Lady Gaga awaanika waliosema hatokuwa maarufu
Mwanamuziki na mwigizaji kutoka Marekani, Lady Gaga amelianika hadharani kundi la zamani la Facebook la chuo kikuu cha New York na kudai kuwa kundi hilo lilimwambia hatokuja k...
14
Alikiba afunguka mipango ya kuupeleka muziki wake Kimataifa
Mwanamuziki Ali Saleh Kiba, maarufu Alikiba amefunguka kuhusiana na plani zake za kuupeleka muziki wake Kimataifa kama wasanii wengine kwa kuweka wazi kuwa anamipango wa kufan...
23
Utafiti: Mabishano ya utotoni yanafaida ukubwani
Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na Chuo Kikuu cha Cambridge umebaini kuwa ugomvi wa watoto waliofuatana unaweza kuwanufaisha hapo baadaye.Utafiti huo uligundua kwamba mabish...
17
Namungo, Fountain Gate wapigwa kalenda Ligi Kuu
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuahirisha mchezo wa ligi baina ya Namungo FC na Fountain Gate FC uliokuwa uchezwe leo katika Uwanja wa Majaliwa Lindi.Taarifa iliy...
06
Wanasayansi waunda Nzi kwa kutumia kinyesi cha Binadamu
Timu ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Macquarie cha Australia wameanza harakati kukabiliana na janga la taka duniani ambapo wameamua kuunda Nzi kwa kutumia kinyesi mwenye ...
05
Daftari lenye mistari ya Wayne kuuzwa sh 13 bilioni
Daftari (notebook) ya zamani ya mwananamuziki Lil Wayne aliyokuwa akiitumia kuandika nyimbo zake mbalimbali lipo sokoni kwa ajili ya kuuzwa.Kwa mujibu wa Tmz imeeleza kuwa daf...
02
Tiffany Haddish: niliwahi kuuza nguo zangu za ndani ili nipate maokoto
Mwigizaji na mchekeshaji kutoka Marekani Tiffany Haddish amefichua kwamba wakati alipokuwa anajitafuta aliwahi kutangaza kuuza ngu...
02
Cheni ya akili bandia inayoweza kukupa kampani wakati wowote
Mwanafunzi aliyeacha masomo katika Chuo kikuu cha Harvard aitwaye Avi Schiffmann kwa mara ya kwanza amevumbua kifaa cha akili bandia (AI) kiitwacho ‘Friend’ kwa le...
04
Amouta kuchukua mikoba ya Nabi AS FAR Rabat
‘Klabu’ ya AS FAR Rabat ya Morocco imefikia makubaliano ya kumteua mkufunzi, Hussein Amouta kuwa ‘kocha’ mkuu klabuni hapo kwa ajili ya kuchukua mikoba...
29
Japan kuzindua roboti anayecheka kama binadamu
Wanasayansi kutoka Japan wako mbioni kuzindua roboti lenye ngozi hai ambalo litakuwa na uwezo wa kucheka pamoja na kutabasamu kama binadamu.Ubunifu huo ulioongozwa na watafiti...
24
Varane kuungana na Messi timu moja
Mmoja kati ya wamiliki wa klabu ya Inter Miami, #DavidBeckham imeripotiwa kuwa yupo katika mazungumzo na wawakilishi wa beki wa #ManchesterUnited, #RaphaelVarane kwa ajili ya ...
14
Billie Eilish: Sijawahi kuumizwa kwenye mapenzi
Mwanamuziki wa Marekani Billie Eilish ameweka wazi kuwa hajawahi kuachwa wala kuumizwa kwenye mapenzi, badala yeye ndiye huwa wa kwanza kutaka kuachana.Eilish ameyasema hayo w...
13
‘VAR’ kutumika ligi kuu bara msimu ujao
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, viwanja vitakavyotumika kwa michuano hiyo vitafungwa teknolojia inayomsaidia mwamuzi kufanya m...

Latest Post