22
Biashara zinazoweza kukuingizia sh 1milioni kwa mwezi
Na Aisha Lungato Niaje niaje watu wangu wa nguvu, i hope mko pouwa kabisa, kama ilivyoada kila wiki tunawasogezea vitu adimu katika anga za biashara, mada ya leo kila mtu itam...
11
Njia za kuposti video, picha bila kupoteza ubora wake
Watu wengi wamekuwa wakichukizwa na matokeo wanayopata baada ya kuposti picha au video kwenye mtandao wa Instagram kutokana na wanachoposti kupungua ubora wake wa mwanzo.Hivyo...
18
Kampuni ya Apple yaupiga mwingi
Kwa mara ya kwanza Kampuni ya Apple inayojihusisha na utengenezaji wa vifaa vya mawasilia imeshika nafasi ya kwanza kuwa mtengenezaji mkubwa wa simu za mkononi duniani kwa mwa...
06
Jinsi ya ku-post video,picha bila kupoteza ubora
Instagram ni moja kati ya mitandao ya kijamii maarufu na wenye watumiaji wengi zaidi dunianisiku za nyuma ilikuwa ukirudia kupandisha (ku-post) video mara kadhaa inapoteza ubo...
02
Watu 48 wafariki kwa tetemeko la ardhi
Tetemeko la ardhi nchini Japani limesababisha vifo vya watu taribani 48 na kufanya uharibifu katika sehehemu mbalimbali nchini humo. Inaelezwa kuwa tetemeko hilo lilianza siku...
26
Kanye awaomba radhi Wayahudi
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani, #KanyeWest ametoka hadharani na kuiomba radhi jamii ya Wayahudi kufuatia na maneno na vitendo vyake vilivyozua chuki kwa jamii hiyo....
13
Mamba mweupe rangi nyeupe apatikana
Siku zote waswahili wanasema ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, na msemo huu unajidhihirishia kwa mamba huyu mweupe ambaye ni nadra sana kuonekana. Kulingana na ripoti k...
01
Onana matatani kupoteza nafasi kikosi cha kwanza
Mlinda mlango wa ‘klabu’ ya Manchester United, Andre Onana anachungulia tundu la sindano kwa kuhofia kupoteza nafasi yake kwenye kikosi cha kwanza ‘klabuni&r...
28
Naira: Nilikutana na Mohbad mtandaoni, Kupoteza followers siyo kitu kwangu
Mwanamuziki Naira Marley ambaye amekuwa akizungumzwa kwa kuhusishwa na kifo cha aliyekuwa msanii nchini Nigeria MohBad, amefunguka...
25
Tory ahofia kupoteza maisha akiwa gerezani
Ikiwa ni takribani wiki moja tangu msanii wa Hip-hop kutokea nchini Marekani Tory Lanez aanze kutumikia rasmi kifungo cha miaka 10 katika gereza la North Kern State  lili...
04
Roy Keane apigwa na shabiki wa Arsenal
Baada ya Manchester United kupoteza mchezo kwa mabao 3-1 dhidi ya Arsenal mchambuzi wa ‘timu’ hiyo, Roy Keane anadaiwa kupigwa kichwa na shabiki wa Arsenal, huku m...
28
Mwanamuziki dayoo aeleza kupotezana na baba yake, Safari ya kumtafuta, Ugumu wa maisha, Mafanikio ya muziki wake
Nisikuchoshe wala nisijichoshe burudani imepata waburudishaji na waburudikaji, week hii tupo na Mangi haha ukisikia naitwa “...
26
Atengwa na jamii baada ya kupoteza watoto saba
Mwanamke mmoja nchini Kenya aliye fahamika kwa jina la Margaret Wamaitha atengwa na jamii baada kuwapoteza watoto wake sita na kubeba ujauzito mara saba bila kupata mtoto kati...
24
Timu 5 duniani zilizocheza mechi nyingi za ligi bila kupoteza
Mabingwa wa kihistoria Tanzania, klabu ya Yanga imezuiwa kufikia rekodi ya kucheza michezo 50 mfululizo ya ligi kuu Tanzania bara bila kupoteza.   Ni klabu ya Ihefu, amba...

Latest Post