06
Mawaziri kulinogesha tamasha la Faraja Ya Tasnia
Mawaziri watano sambamba na Mshauri wa Rais, Angellah Kairuki na Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa wanatarajiwa kushiriki Tamasha la Faraja y...
04
Jux na mpenzi wake kumalizia bata lao Dar
Baada kuchafua mitandao ya kijamii kwa siku kadhaa mwanamuziki Juma Jux na mpenzi wake mpya Priscilla Ajoke raia wa Nigeria wameamua kumalizia bata lao nchini Tanzania.Kufuati...
09
Magoma akwaa kisiki kesi dhidi ya Yanga, aamriwa kulipa gharama
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu Klabu ya Dar es Salaam Young Africans Sports kufanya mapitio ya marejeo ya shauri la madai namba 187/2022 lililofunguliwa na Juma Mag...
26
Simi aungana na Wakenya, Aumizwa na waliopoteza maisha
Mwanamuziki maarufu nchini Nigeria, #Simi, ametoa sauti yake katika maandamano ya kupinga ongezeko la kodi yanayoendelea nchini Kenya ambapo amedai kuwa inahuzunisha watu kupo...
25
Meneja akanusha taarifa ya bondia Deontay Wilder kustaafu
Bondia Deontay Wilder bado ameendelea kuwa kimya juu ya hatma yake kwenye masumbwi tangu alipoahidi endapo atachapwa na Zhilei Zhang, nchini Saudi Arabia, atastaafu. Wilder al...
19
Jumatano Usher hali chakula chochote
Mwanamuziki kutoka Marekani Usher Raymond ameweka wazi kuwa kila ifikapo siku ya Jumatano huwa hali chakula chochote zaidi ya kunywa maji. Usher ameyasema hayo wakati alipokuw...
13
Watoto wamkutanisha Jennifer Lopez na Ben Affleck
Baada ya kuwepo kwa tetesi za mwanamuziki #JenniferLopezi na mumewe #BenAffeck kutengana na kuuza nyumba yao waliyokuwa wakiishi, hatimaye wawili hao wamekutana tena katika ma...
29
Eminem ana jambo lake ijumaa hii
Mwanamuziki kutoka Marekani Eminem ametangaza ujio wa wimbo wake mpya ambao utaachiwa siku ya Ijumaa Mei 31, 2024 alioupa jina la ‘Houdini’.Kupitia ukurasa wake wa...
28
Jay Moe aelezea anavyomkumbuka Mangwea
Tarehe kama ya leo mwaka 2013 alifariki mwanamuziki Albert Keneth 'Mangwea', aliyewika miaka ya 2000 kwa ngoma kama vile 'Ghetto Langu','Kimya Kimya''Nipe deal','Alikufa kwa n...
15
Watatu wajeruhiwa wakati lil Baby akirekodi video
Vijana wa kiume watatu wameripotiwa kujeruhiwa kwa kupigwa risasi katika eneo la Dixie Marekani wakati mwanamuziki Lil Baby akiwa ana-shoot video ya ngoma yake mpya. Kwa mujib...
15
Takribani 14 wafariki kwa kuangukiwa na bango la tangazo
Imeripotiwa kuwa takibani watu 14 wamefariki dunia siku ya jana Jumatatu Mei 13, 2024 baada ya kuangukiwa na bango la matangazo kufuatiwa na mvua iliyonyesha jijini Mumbai nch...
05
Mwanamitindo Nada afunga ndoa na bilionea wa PTL
Mkurugenzi kampuni inayojihusisha na mitindo ya nguo za wanawake Pretty Little Thing (PLT), bilionea #UmarKamani amefunga ndoa na mwanamitindo kutoka nchini Uingereza #NadaAde...
21
Gardner Habash kuzikwa jumanne Rombo
Mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds FM, Gardner Habash utaagwa kesho jijini Dar es Salaam na kuzikwa Jumanne Aprili 23, 2024 mkoani Kilimanjaro.Kwa muj...
16
Wachezaji ndiyo wamezomewa Bandarini Dar es salaam
Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kufanyika kwa pambano la Dabi ya Kariakoo, leo kikosi cha Simba kimeanza safari kwenda Zanzibar huku kikizomewa na mashabiki wa Yanga. Baada...

Latest Post