30
Samatta, Flaviana Matata, Ramadhan Brothers Kushikana Mashati Tuzo Za TMA
Ikiwa ni muendelezo wa kutaja majina na vipengele mbalimbali vinavyowania tuzo za Tanzania Music Awards (TMA), sasa vimetajwa vipe...
22
Lulu: Jua Kali haina uhusika na maisha yangu
Mwigizaji wa Bongo Movie Elizabeth Michael ‘Lulu’ wakati akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 22, jijini Dar es Salaam amesema kuwa uhusika anaocheza kwen...
03
Snoop Dogg amkumbuka Malikia Elizabeth
Mwanamuziki kutoka Marekani Snoop Dogg amekumbuka mchango wa marehemu Malikia Elizabeth kutokana na mambo aliyowahi kumfanyia enzi za uhai wake.Wakati alipokuwa kwenye mahojia...
03
Ray C awagawa wasanii chipukizi Bongo
Ikiwa imepita siku moja tangu mwanamuziki wa zamani wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anaishi jijini Paris, Ufaransa Rehema Chalamila ‘Ray C’ kuwataka wasanii wenye u...
02
Bet yamuomba radhi Usher
Waandaaji wa Tuzo za BET wamemuomba radhi mkali wa R&B Usher baada ya hotuba yake kutosikika kwa mashabiki walioko majumbani. BETiliomba radhi kwa mshindi huyo mara nane w...
01
Tyla, Usher wateka BET 2024
Peter Akaro Usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Peacock huko Los Angeles, Calfornia nchini Marekani kumetolewa tuzo za BET 2024 ambapo Usher Raymond IV na Tyla ndio mastaa w...
25
Will Smith kukiwasha tuzo za Bet
Mwigizaji na ‘rapa’ wa Marekani Will Smith ameripotiwa kurudi tena jukwaani kama mwanamuziki ambapo anatajiwa kutumbuiza katika Tuzo za BET. Katika taarifa iliyoto...
20
Bongo Movie ilivyowapa kisogo mamisi
Tangu kuanzishwa kwa mashindano ya kusaka warembo,  Miss Tanzania mwaka 1967 tayari imepita miaka 57,  huku taji hilo likiwa limevaliwa na warembo 30 hadi kufikia mw...
28
Betri za simu zinazodumu na chaji miaka 53 zatengenezwa China
Kampuni ya teknelojia kutoka nchini China, ‘Betavolt’ kwa mara ya kwanza imetengeneza ‘betri’ kwa ajili ya simu janja ambazo zitakuwa zikidumu na chaji...
23
Kiti cha muundo wa nge, maalum kwa wanaobeti
Kampuni ya Cluvens imetoa kiti cha ‘teknolojia’ chenye muundo wa Nge kiitwacho ‘Scorpion Computer Cockpit’ kwa dhumuni la kuwarahisishia watumiaji wa k...
20
Wanamuziki waendeshwa na umbea
Wanamuziki wenyewe wanaendeshwa na umbea. Hawaumizi tena vichwa vyao, wanachofanya ni kupita kwenye maeneo yale yale ya umbea. Matokeo yake Hamisa anatajwa hata mara tatu kati...
27
Mastaa na mitupio ya mavazi mwaka 2023
Leo katika Fashion tumekusogezea  baadhi ya wasanii waliotokelezea katika upande wa mavazi na wale ambao waliwashangaza watu kwa mitindo ya mavazi yaani walitoa booko hah...
21
P Diddy atimiza ahadi ya kuchangia dola milion 1
Baada ya ‘rapa’ #PDiddy kutangaza katika Tuzo za #BET za 2022 kuwa atatoa dola milioni 1katika Chuo Kikuu cha #Howard, hatimaye ametimiza ahadi hiyo ambapo alikabi...
11
Kendrick aondoka na 4G kwenye Bet Hip- Hop Award 2023
Msanii wa Hip-hop kutokea nchini Marekani, Kendrick Lamar ameonekana kinara wa Hip-hop kwa mwaka 2023, hilo limethibitika siku ya jana kupitia BET Hip hop Awards baada ya kush...

Latest Post