17
Namungo, Fountain Gate wapigwa kalenda Ligi Kuu
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuahirisha mchezo wa ligi baina ya Namungo FC na Fountain Gate FC uliokuwa uchezwe leo katika Uwanja wa Majaliwa Lindi.Taarifa iliy...
08
Tamasha la Taylor Swift lapigwa chini
Matamasha matatu ya mwanamuziki Taylor Swift yaliyopangwa kufanyika nchini Austria yamesitishwa kufuatia shambulio la kigaidi lililopangwa kufanyika jijini Vienna.Tishio hilo ...
24
Ten Hag na wachezaji wake wapigwa rungu
Kocha wa klabu ya #ManchesterUnited, Erik ten Hag na wachezaji wake watalazimika kupunguzwa mishahara kama watashindwa kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kwa mujibu wa The Sun...
04
Tamasha la Jay-Z lapigwa chini tena
Tamasha la mwanamuziki Jay-Z liitwalo ‘Made In America Festival’ ambalo hufanyika kila mwaka mwezi Mei jijini Philadelphia nchini Marekani lapigwa chini kwa miaka ...
28
Waamuzi wa simba na Yanga wajulikana
Muamuzi #AbongileTom kutoka nchini Afrika Kusini ameteuliwa kusimamia mchezo wa robo fainali ya ‘ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC dhidi ya #AlAhly kutoka nchini ...
26
Chini ya miaka 16 wapigwa marufuku kujihusisha na mitandao
Gavana wa mji wa Florida, nchini Marekani #RonDeSantis ametia saini mswaada wa sheria ya mitandao ya kijamii nchini humo jana Jumatatu kupiga marufuku watoto walio chini ya um...
19
Show ya Nicki Minaj yapigwa kalenda
Show ya ‘rapa’ Nicki Minaj iliyotakiwa kufanyika jana Machi 18, New Orleans, Marekani ambayo ni muendelezo wa ziara yake imeghairishwa kutokana na mwanamuziki huyo...
09
Ngannou apigwa kwa K.O, Joshua amtaka asiache ngumi
Bondia maarufu kutoka nchini Cameroon Francis Ngannou amechapwa na Anthony Joshua kwa kumpiga Knock Out (K.O) katika pambano la uzito wa juu lililofanyika Riyadh, Saudi Arabia...
05
Wanigeria wapigwa na kitu kizito Grammy 2024, Tyla apeta
Peter Akaro Dar es Salaam: Kama kuna kitu wasanii wa Nigeria walikuwa na uhakika nacho katika tuzo za 66 za Grammy 2024, ni kuondoka na ushindi mnono kutokana na kuchaguliwa k...
04
Kitambaa cha Jimi chapigwa mnada
Kitamba cha aliyekuwa mwanamuziki wa Pop nchini Marekani #JimiHendrix ambacho alitumia kukivaa kichwani katika maonesho mbalimbali miaka ya 1960 chapigwa mnada wa tsh 100 mili...
14
Wachezaji wapigwa na radi, Mechi yaghairishwa
‘Mechi’ kati ya ‘timu’ ya vijana wanawake #InyemeraWFC na #RamburaWFC nchini Rwanda imeghairishwa baada ya radi kupiga katika uwanja wa Gicumbi na kusa...
05
Mwanamke aliye kula nauli ya mpenzi wake apigwa faini
Mahakama nchini #Kenya imemuadhibu mwanamke mmoja (jina limehifadhiwa) kulipa faini ya Ksh 40,000 (Sh666,165) baada ya kukutwa na hatia ya kuchukua Ksh 800 (Sh13,332) ya mpenz...
11
Mlinzi wa shule apigwa risasi ya kichogo akiamulia ugomvi
Mlinzi wa shule ya Thomas R. Proctor, iliyopo New York apigwa risasi kichogoni wakati akizuia ugomvi, katika eneo la kuegesha magari lililopo karibu na uwanja wa mpira wa shul...
17
Manchester City wapigwa marufuku kusheherekea ushindi
‘Winga’ wa #ManchesterCity Jack Grealish ameeleza kuwa ‘kocha’ wao Pep Guardiola amewapiga marufuku wachezaji wake kusheherekea ushindi wao kupita kias...

Latest Post