07
Faraja ya Tasnia ni zaidi ya tamasha, mastaa wanyoosha mikono juu
Mastaa mbalimbali nchini waliofika kwenye tamasha la Faraja ya Tasnia linalolenga kuwaenzi wasanii waliofariki dunia, wameonesha kuvutiwa na tamasha hilo ambalo limeanzishwa n...
07
Mama Kanumba ajitenga na filamu za mwanaye
Mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema tangu mwanaye afariki dunia hajawahi kuangalia filamu yake hata moja kwasababu zinamuumiza licha ya kuwa anazikubali kazi...
04
Hivi hapa vipengele vya wanaowania tuzo za TMA
Ikiwa jana Septemba 3, 2024 dirisha la kuwapigia kura wasanii watakaowania Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) lilifunguliwa, hivi ndivyo vipengele 17 vinavyoshindaniwa ambavyo vime...
04
Toxic afunguka kumzimia kimapenzi Abigail Chams
Msanii wa Hip-hop nchini Abdulrazak Selemani ‘Toxic’ wakati akifanya mahojianoa na Mwananchi Scoop, ameweka wazi hisia zake za kimapenzi kwa mwanamuziki Abigail Ch...
31
Hoteli yatakiwa kutoa ushahidi kesi ya Diddy
Mamlaka ya shirikisho yanayomchunguza Diddy imeweka wazi kuwa huenda kuna uwezekano wa kumpatia kesi ya jinai ‘rapa’ huyo huku mamlaka hiyo ikitoa wito kwa hoteli ...
28
Lil Rod: Diddy na wenzake wananitishia maisha
Siku moja baada ya habari kuvuja kuhusu Diddy kuwasilisha ombi la kufuta kesi ya unyanyasaji wa kijinsia iliyofunguliwa na mtayarishaji Rodney "Lil Rod" Jones, dhidi yake, mta...
28
Biashara ya uwakala haitaki mbwembwe, zingatia vitu hivi
Niwasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano Tanzania, basi wote tusema kazi iendelee, kama kawaida ili mkono uende kinywani lazima kazi na juhudi ifanyike, katika juhudi hizo ...
27
Ukikubali kuoa/kuolewa unalipwa zaidi ya Sh 102 Milioni
Ukiwa ni muendelezo wa kukabiliana na kiwango cha chini cha uzazi nchini Korea Kusini, Wilaya ya Saha, Busan inampango wa kuwalipa wakazi wa eneo hilo watakao kubali kuchumbia...
27
Nyoshi El Saadat ataka bongo fleva waimbe live
Mwanamuziki nyota wa muziki wa dansi, anayemiliki bendi ya Bogoss Musica, Nyoshi El Saadat amewashauri wasanii wa Bongo Fleva kujikita zaidi katika kuimba muziki wa mubashara ...
24
Mashabiki wamnanga John Legend
Mashabiki wamemnanga mwanamuziki wa Marekani John Legend baada ya kuimba vibaya wimbo wa marehemu mwanamuziki Price katika mkutano wa Kitaifa wa Kidemokrasia (DNC).Kupitia mit...
24
Jamie Foxx aiomba mahakama kutupilia mbali kesi inayomkabili
Mwigizaji kutoka Marekani Jamie Foxx ameiomba mahakama kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa dhidi yake na mwanamke aliyemshutumu kwa unyanyasaji wa kijinsia.Kwa mujibu wa tovut...
24
Justin Bieber sasa ni baba
Baada ya kutangaza kutarajia kupata mtoto miezi michache iliyopita, hatimaye mwanamuziki Justin Bieber na mke wake Hailey wamepata mtoto wao wa kwanza aitwaye Jack Blues Biebe...
23
Utafiti: Mabishano ya utotoni yanafaida ukubwani
Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na Chuo Kikuu cha Cambridge umebaini kuwa ugomvi wa watoto waliofuatana unaweza kuwanufaisha hapo baadaye.Utafiti huo uligundua kwamba mabish...
22
Lulu: Jua Kali haina uhusika na maisha yangu
Mwigizaji wa Bongo Movie Elizabeth Michael ‘Lulu’ wakati akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 22, jijini Dar es Salaam amesema kuwa uhusika anaocheza kwen...

Latest Post