17
Wazazi wa AKA wagoma mtoto wao kuandikwa kitabu
Wakati Melinda Ferguson akijiandaa kuandika kitabu kitakachozungumzia maisha ya mahusiano kati ya AKA na aliyekuwa mpenzi wake Anele, familia ya marehemu AKA, Tony na Lynn For...
25
47% ya wazazi wanahudumia watoto wao waliofika umri wa utu uzima
Kwa mujibu wa ripoti ya utafiti iliyotolewa na New Savings Survey, inaonesha kuwa 47% ya wazazi nchini Marekani, wanaendelea kutoa msaada wa kifedha kwa watoto wao, ambao wame...
07
Ahama kwa wazazi na kwenda kuishi kwenye treni
Kijana mmoja kutoka nchini Ujerumani aitwaye Lasse Stolley (17) anadaiwa kuhama kwa wazazi wake na kwenda kuishi katika treni za ‘Deutsche Bahn’ kwa mwaka mmoja na...
05
Utafiti: Nusu ya vijana wenye miaka 18 hadi 29 wanaishi kwa wazazi
Kutokana na utafiti uliofanywa mwaka jana  na kituo cha Pew Research, umegundua kuwa karibia nusu ya vijana wote nchini Marekani walio na umri kati ya miaka 18 hadi 29 ba...
11
Mtoto wa kwanza kuzaliwa apewa jina la Mbappe
Mtoto wa kwanza kuzaliwa mwaka 2024 nchini Hispania amepewa jina la mchezaji wa ‘klabu’ ya #PSG, #KylianMbappe. Wazazi wa mtoto huyo wajulikanao kama Fran Barreiro...
29
Wazazi wa Diaz wadaiwa kutekwa
Wazazi wa mchezaji nyota wa ‘klabu’ ya #Liverpool, #LuisDiaz wanadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakati wakiwa kwenye gari kuelekea nyumbani kwao Mjini Barranc...
23
Atengeneza bango kwa ajili ya Drake
Binti aliyefahamika kwa jina la Miya Mwenye umri wa miaka 15 ameonesha mapenzi yake ya dhati kwa ‘rapa’ kutoka nchini marekani, Drake kwa kuweka bango kwa ajili ya...
04
Ugonjwa wa ajabu wawakumba wanafunzi wa kike Kenya
Ugonjwa wa ajabu wa maumivu katika magoti na kushindwa kutembea umewakumba wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Eregi iliyopo Kaunti ya Kakamega nchini Kenya ambapo...
21
Ruby apewa tuzo ya heshima
Baada ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Aldolf Faustine Mkenda kutambua mchango wa mwanamuziki maarufu #Ruby kama msanii anayetumia sanaa yake kuelimisha watoto n...
26
Umuhimu wa kuchunguza familia kabla hamjafunga ndoa
Mila na desturi zetu zilikuwa zikihimiza, kabla ya vijana hawajaamua kuingia kwenye ndoa, ilikuwa ni lazima wazazi kufahamu familia ambayo kijana wao au binti yao anataka kuin...
26
Wazazi 763 wakamatwa kwa kutowapeleka shuleni wanafunzi waliofaulu
Taarifa kutoka Ruvuma ambapo Idadi hiyo imefikiwa baada ya msako wa Nyumba kwa Nyumba uliofanywa na Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Julius Mtatiro, kutokana Wanafunzi wengi wa Dara...
18
Wazazi walia na walimu kuwageuza wanafunzi kuwa wapenzi wao, Tabora
baaadhi ya walimu Wilayani Kaliua mkoani Tabora wamelalamikiwa na wazazi pamoja na walezi kwa kuwalaghai wanafunzi hao kwa kufanya...
17
Ajichoma sindano ya damu ya boyfriend mwenye ukimwi kukomoa wazazi
Wahenga husema mapenzi ni upofu na hili limethibitishwa na binti wa miaka 15 huko nchini India ambaye alichukua maamuzi wa kujichoma damu ya mpenzi wake mwenye virusi vya ukim...
08
Mwanafunzi ajiteka ili apate pesa kutoka kwa wazazi wake
Kijana mmoja Jijini Nairobi, nchini Kenya anashikiliwa na jeshi la polisi nchini humo kwa kosa la kujiteka ili apate fedha kutoka kwa wazazi wake.Kijana huyo ajulikanae kama E...

Latest Post