Wakati Melinda Ferguson akijiandaa kuandika kitabu kitakachozungumzia maisha ya mahusiano kati ya AKA na aliyekuwa mpenzi wake Anele, familia ya marehemu AKA, Tony na Lynn For...
Kwa mujibu wa ripoti ya utafiti iliyotolewa na New Savings Survey, inaonesha kuwa 47% ya wazazi nchini Marekani, wanaendelea kutoa msaada wa kifedha kwa watoto wao, ambao wame...
Kijana mmoja kutoka nchini Ujerumani aitwaye Lasse Stolley (17) anadaiwa kuhama kwa wazazi wake na kwenda kuishi katika treni za ‘Deutsche Bahn’ kwa mwaka mmoja na...
Kutokana na utafiti uliofanywa mwaka jana na kituo cha Pew Research, umegundua kuwa karibia nusu ya vijana wote nchini Marekani walio na umri kati ya miaka 18 hadi 29 ba...
Mtoto wa kwanza kuzaliwa mwaka 2024 nchini Hispania amepewa jina la mchezaji wa ‘klabu’ ya #PSG, #KylianMbappe.
Wazazi wa mtoto huyo wajulikanao kama Fran Barreiro...
Wazazi wa mchezaji nyota wa ‘klabu’ ya #Liverpool, #LuisDiaz wanadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakati wakiwa kwenye gari kuelekea nyumbani kwao Mjini Barranc...
Binti aliyefahamika kwa jina la Miya Mwenye umri wa miaka 15 ameonesha mapenzi yake ya dhati kwa ‘rapa’ kutoka nchini marekani, Drake kwa kuweka bango kwa ajili ya...
Ugonjwa wa ajabu wa maumivu katika magoti na kushindwa kutembea umewakumba wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Eregi iliyopo Kaunti ya Kakamega nchini Kenya ambapo...
Baada ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Aldolf Faustine Mkenda kutambua mchango wa mwanamuziki maarufu #Ruby kama msanii anayetumia sanaa yake kuelimisha watoto n...
Mila na desturi zetu zilikuwa zikihimiza, kabla ya vijana hawajaamua kuingia kwenye ndoa, ilikuwa ni lazima wazazi kufahamu familia ambayo kijana wao au binti yao anataka kuin...
Taarifa kutoka Ruvuma ambapo Idadi hiyo imefikiwa baada ya msako wa Nyumba kwa Nyumba uliofanywa na Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Julius Mtatiro, kutokana Wanafunzi wengi wa Dara...
Wahenga husema mapenzi ni upofu na hili limethibitishwa na binti wa miaka 15 huko nchini India ambaye alichukua maamuzi wa kujichoma damu ya mpenzi wake mwenye virusi vya ukim...
Kijana mmoja Jijini Nairobi, nchini Kenya anashikiliwa na jeshi la polisi nchini humo kwa kosa la kujiteka ili apate fedha kutoka kwa wazazi wake.Kijana huyo ajulikanae kama E...