12
Mwijaku ameyakanyaga kwa Maua Sama
Ikiwa zimepita siku chache tangu muigizaji na mtangazaji Mwijaku kumzungumzia vibaya mwanamuziki Maua Sama mazungumzo ambayo yaliyoonekana ni unyanyasaji, Maua Sama kupitia wa...
25
Diamonds: Zuchu anafanya wanawake wote niwaone kama dada zangu
Mwanamuziki wa #BongoFleva nchini #DiamondPlatnumz amekiri mbele ya mashabiki kuwa #Zuchu ndiye mwanamke anayesababisha wanawake wengine awaone kama dada zake.Diamond ameyasem...
02
Afariki baada ya kula samaki mwenye sumu
Mwanamme mmoja kutoka nchini #Brazil, aliyefahamika kwa jina la Magno Sergio Gomes (46) ameripotiwa kufariki baada ya kula samaki mwenye sumu aina na ‘#pufferfish’...
28
Nicki Minaj na Megan wangia kwenye bifu zito
Nyota wa muziki kutoka nchini Marekani #NickMinaj na Megan Thee Stallion wameingia kwenye bifu zito baada ya Nicki kufanya mzaha kuhusu mama yake Megani aliyefariki miaka sita...
24
Tsimikas bado sana nje ya uwanja
Meneja wa ‘klabu’ ya #Liverpool, #JurgenKlopp amethibitisha kuwa beki wao #KostasTsimikas atakuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu baada ya kugongwa kwenye bega na win...
14
Naira amgeuzia kibao muigizaji iyabo kisa kifo cha Mohbad
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #NairaMarley ametishia kumshtaki muigizaji kutoka nchini humo #IyaboOjo kwa madai ya kumchafua kwa kuchapisha habari za uongo kipindi akikabi...
27
Rais wa TFF akanusha kumuita samatta timu ya Taifa
Rais wa TFF, #WallaceKaria akanusha kumchagua #Samatta kuwa katika kikosi cha Taifa Stars, baada ya kuwepo kwa tetesi zinazodai Rais huyo kamchagua mchezaji huyo kuwepo katika...
03
Mchezaji wa Wydad Oussama afariki dunia
Beki wa ‘Klabu’ ya Wydad Casablanca kutoka nchini #Morocco #OussamaFalouh (24) amefariki dunia hospitalini alipokuwa akipatiwa matibabu.#Oussama alifikwa na umauti...
01
Amaju amtaka Davido aombe msamaha siku nne mfululizo
Waandaaji wa tamasha la ‘Warri Again Concert’ wamemfungulia kesi ya madai ya N2.3 bilioni msanii kutoka nchini Nigeria Davido kwa madai ya kukiuka makubaliano ya k...
25
Kodak Back anatamani kurudisha fadhila kwa kwa Trump
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani, #KodakBlack anatamani kulipa fadhila kwa #DonaldTrump kwa kumpa Tsh bilioni 2.5 baada ya kumpatia msamaha wakutoka gerezani kabla ya...
23
Wastara: Ni ngumu kupata nafasi ya pili kwenye maisha
Muigizaji mkongwe wa #BongoMovie Wastara Juma amewataka watu watumie vizuri nafasi na fursa wanazo zipata, huku akidai kuwa kwenye maisha ni ngumu sana kupata nafasi ya pili. ...
05
Naira Marley na Sama waswekwa rumande siku 21, Kifo cha Mohbad
Kufuatia uchunguzi unaoendelea wa kifo cha MohBad, taarifa mpya zinaeleza kuwa ‘rapa’ Naira Marley na ‘promota’ wake Sam Larry wameamriwa kukaa rumande...
02
Jinsi ya kukiri makosa yako kazini
Ooooh!!! yes, ni week nyingine tena ambapo tunakutana kupitia kipingele cha makala za kazi, ajira, ujuzi na maarifa kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu sector h...
28
Samatta afungua ‘Akaunti’ ya mabao
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Paok Fc na nahodha wa ‘timu’ ya taifa Tanzania Mbwana Samatta amefungua ‘akaunti’ yake ya mabao akiwa na ‘timu...

Latest Post