Kocha wa klabu ya #ManchesterUnited, Erik ten Hag na wachezaji wake watalazimika kupunguzwa mishahara kama watashindwa kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Kwa mujibu wa The Sun...
Mwanamuziki kutoka nchini Brazil Caroline Lyra ambaye pia alikuwa mke wa zamani wa mchezaji Ricardo Kaka, amedai kuwa aliomba talaka kwa mumewe kwa sababu hakuwa akimsaliti wa...
Kutokana na malalamiko ya mashabiki wa mwigizaji na mwanamuziki Mimi Mars, juu ya kutoonekana tena kwenye tamthilia ya Jua Kali, hatimaye msanii huyo ameweka wazi kwa kueleza ...
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Ruger amefunguka mazito kuhusiana na sababu iliyomfanya atemane na lebo yake ya zamani iitwayo ‘Jonzing World’ kwa kudai kuwa wal...
Mwanamuziki mkongwe kutoka nchini Marekani, R. Kelly ambaye anatumikia kifungo cha miaka 31 gerezani kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono, amewaonya wale wote ambao wanamdhiha...
Aisha Charles
Isikiwapo ngoma iitwayo Mama Neema au Money Money, wengi inawakumbusha miaka 13 iliyopita, kwa sababu ndiyo nyimbo zilizokuwa zikifanya poa kutoka kwa mwanamuzik...
Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Hamis Mwijuma maarufu kama #MwanaFA amewataka mashabiki wa ‘timu’ za mpira wa miguu kuacha kushangilia mabao tu kwani in...
‘Rapa’ Cardi B ameweka wazi kuwa kwa zaidi ya mwaka mmoja amekuwa akiogopa kuishi maisha yake halisi aliyoyazoea kutokana na kukosolewa na mashabiki. Akiwa katika ...
Kuna kitendawili kisemacho nampiga mwanangu nalia mwenyewe, jibu lake kitungu, kitendawili hiki kimetokana na tabia ya tunda hilo ambalo wakati wa kulikata hupelekea mkataji k...
Kutokana na mambo yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii yakimhusisha mwanamuziki na dansa Chino Kidd kuwa kwenye mgogoro na bosi wake wa zamani Marioo, mkali huyo amefunguk...
Kutokana na utafiti uliofanywa mwaka jana na kituo cha Pew Research, umegundua kuwa karibia nusu ya vijana wote nchini Marekani walio na umri kati ya miaka 18 hadi 29 ba...
Ni hali ya kawaida kumuona mtu anapiga miayo kwani tukio hilo hutajwa kati ya matukio yafanyikayo bila muhusika kutaka, lakini hii si kwa binadamu tu bali hutokea pia kwa wany...
Na Aisha Lungato
Niaje niaje! wasomi, niliwakumbuka sana sasa leo nimerudi tena ndugu yenu nisiye na hiyana kuja kuwapa nondo ambayo itaweza kuwasaidia huko mbeleni mnakoeleke...
Twiga pekee mwenye rangi mweupe duniani anapatikana Kaskazini Mashariki ya Kenya Garissa, amefungwa kifaa maalumu cha kufuatilia mienendo yake ya kila siku ili kumlinda dhidi ...