18
Cr7 ashinda kesi dhidi ya Juventus
Nyota wa soka duniani #CristianoRonaldo ameshinda kesi ya madai ya mshahara dhidi ya klabu yake ya zamani ya #Juventus. Klabu hiyo inatakiwa kumlipa CR7 kiasi Sh26.9 bilioni k...
02
Georgina ampa heshima Cr7
Mpenzi wa mchezaji Cristiano Ronaldo, Georgina Rodriguez ameonesha kum-sapoti, na kumpa heshima mpenzi wake huyo kwa kuvalia vazi lililoandikwa jina la CR7 katika maonesho ya ...
29
Cr7 afungiwa mechi moja
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Ureno na ‘klabu’ ya #AlNassr kutoka Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo amefungiwa ‘mechi’ moja ikiwa kama adhab...
10
Saudia hawana ubahili kwenye soka
Muanzilishi wa kampuni ya ‘FutBolJobs’ Valentin Botella Nicolas, kutoka nchini Saudi Arabia amepanga kusajili wachezaji wapya kwa ajili ya ‘ligi’ daraj...
05
Ronaldo ashinda tuzo mfungaji bora 2023
Nyota wa ‘klabu’ ya Al Nassr FC kutoka Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo ameibuka kidedea kwa kushinda Tuzo ya Maradona kutoka Globe Soccer kama mfungaji bora kwa mw...
27
Cr7 anaongoza kwa mabao 2023
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #Alnassr #CristianoRonaldo anaongoza kuwa na mabao mengi kwa mwaka 2023, akiwa na umri wa miaka 38 Inaelezwa kuwa nyota huyo wa soka amefung...
12
Messi na Ronaldo kukutana Februari 1
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na ‘klabu’ ya Inter Miami kuingia dimbani na ‘timu’ ya Al Nassr, sasa uvumi huo umethibitishwa kuwa ukweli, ambapo mia...
09
Gavana aliyeenda kutazama mechi aliyocheza ronaldo atakiwa kujiuzulu
Gavana wa Japan, aitwaye Kengo Oishi ambaye alienda kumuona Cristiano Ronaldo akicheza katika mechi kati ya Al Nassr FC na PSG Jul...
02
Wanasoka wanaomiliki ndege binafsi zenye thamani zaidi
Baadhi ya watu maarufu duniani wamekuwa wakitamani na wengine kuwekeza kwenye umiliki wa ndege binafsi, wapo baadhi ya wanamuziki ambao tayari wanamikili vyombo hivyo vya usaf...
14
CR7 kuchapwa viboko 99
Nguli wa ‘soka’ kutoka nchini Portugal Cristiano Ronaldo amejikuta katika janga ambalo hakulitegemea baada ya vyombo vya habari nchini Iran kuripoti kuwa mchezaji ...
06
Anayedai kubakwa na CR7 aibuka tena mahakamani
Mwalimu na mwanamitindo kutoka nchini Marekani Kathryn Mayorga, aliyedai kubakwa na nguli wa ‘soka’ Cristiano Ronaldo amerudisha kesi hiyo tena mahakamani kwa leng...
04
Boateng : Nilishinikizwa kusema Messi ni bora kuliko Ronaldo
Mchezaji wa zamani wa ‘soka’ nchini Germany ambaye pia aliwahi kuchezea ‘timu’ ya taifa ya Ghana Kevin-Prince Boaten amefunguka na kudai kuwa aliwahi k...
23
Mashabiki waimba jina la Ronaldo uwanjani
Kwa upande wa nyota wa Al Nasrr CR7 amejipata Saudi Arabia, hii ni baada ya kuonekana kupendwa zaidi na mashabiki wa ‘klabu’ hiyo, huku usiku wa kuamkia leo Septem...
22
Ronaldo ndani ya kanzu
Mchezaji maarufu dunian Cristiano Ronaldo ambaye kwa sasa ni mchezaji wa klabu ya Al Nassr kutoka nchini Saudi Arabia bado anaendelea kukonga nyoyo za mashabiki zake nchini hu...

Latest Post