03
Vijana Wa 2000 Ni Wazee Wa 2025
Kuna watu wetu wamegoma kuzeeka. Kama siyo kiakili basi kimwili. Wapo wanaotaka miili ya 2000 iwe vilevile hadi leo. Na mawazo yao ya 2000 pia yaendelee kuwa vilevile hadi leo...
03
Beyonce Apigwa Marufuku Na Mmiliki Wa Sphere
Mmiliki wa ukumbi wa Sphere uliopo Las Vegas amemtumia Beyoncé barua ya kuzuia na kusitisha (cease and desist) kipande cha video kilichorekodiwa na mashabiki katika tam...
03
Maokoto Aliyovuna Downey Kwenye Filamu Za Marvel
Mwigizaji maarufu kutoka Marekani Robert Downey Jr anatajwa kuwa mwigizaji aliyevuna mkwanja mrefu katika kampuni ya Marvel (Marvel Cinematic Universe MCU) kufuatia na uhusiak...
03
Calisah: Sijutii kumrudia Mungu, mimi na muziki basi
Mwanamitindo maarufu nchini, Calisah amesema kwa sasa hataki tena mambo ya kidunia aliyokuwa akiyafanya mwanzo badala yake amemrudia Mungu.Akizungumza na Mwananchi Scoop Calis...
03
Mary J. Blige Aburuzwa Mahakamani
Malkia wa Hip Hop Soul na RnB Marekani, Mary J. Blige (54) ameshtakiwa na aliyekuwa mwanamitindo wake, Misa Hylton kwa madai ya kumkosesha mamilioni ya fedha kufuatia kuingili...
03
Paula, Marioo Waonesha Sura Ya Mtoto Wao
Mwanamuziki Marioo ambaye anatamba na wimbo wa ‘Tete’ na mpenzi wake Paula Kajala wameonesha sura ya mtoto wao Amarah kwa mara ya kwanza.Ikiwa leo ni siku ya kuzal...
02
Bill Gates: Miaka 10 Ijayo Binadamu Kufanya Kazi Siku Mbili
Mmoja wa matajiri zaidi duniani na mfanyabiashara Bill Gates ameeleza kuwa miaka 10 ijayo binadamu watafanya kazi siku mbili kwa wiki huku majukumu yao yakifanywa na Akili Ban...
02
Zuchu, Diamond Wazidi Kuwachanganya Mashabiki
Wakati watu wakitulia kusherehekea Siku ya Wafanyakazi Duniani, upande wa burudani umezua gumzo zito baada ya mwanamuziki Diamond Platnumz kushiriki picha akiwa na mpenzi wake...
02
Diddy Kuvaa Mavazi Ya Kiraia Wakati Wa Kesi Kusikilizwa
Sean "Diddy" Combs, ambaye anakabiliwa na mashtaka mazito ya usafirishaji wa binadamu kwa ajili ya ngono na uhalifu mwingine, amepata ruhusa ya kuvaa mavazi ya kiraia wakati w...
02
Miaka 25 Kwa Rema Imetosha Kuonesha Ukubwa Wake
Divine Ikubor, maarufu kama Rema, ni miongoni mwa wasanii wachache wa kizazi kipya waliothibitisha kuwa umri si kikwazo cha mafanikio. Licha ya kuwa bado kijana, Rema ameendel...
01
Diamond Kwenye Mduara Hacheki Na Wowote
Mbali na kujulikana kwa mafanikio yake makubwa katika muziki wa Bongo Fleva na kupenya hadi kwenye midundo ya Amapiano, Diamond Platnumz ameendelea kuonyesha kuwa yeye ni msan...
01
Miaka 17 Ya Beyonce, Jay Z Kama Jana
Imetimia miaka 17 tangu Jay Z, 55, na Beyonce Knowles, 43, kufunga ndoa Aprili 4, 2008, hadi sasa harusi yao ni moja ya mambo yanayojadiliwa sana kutoka katika familia hiyo ya...
01
Akon Na Mchango Wake Kwenye Afrobeat
Mwanamuziki na mwigizaji kutoka Senegal ambaye anaishi Marekani, Akon amefunguka kuhusu mchango wake katika kukuza muziki wa Afrobeat na namna ambavyo amepambana na changamoto...
30
Msanii Chemical atunukiwa Shahada ya Uzamivu PhD nchini Uingereza
Msanii wa hiphop nchini, Chemical ambaye alikuwa masomoni Uingereza amefaulu mtihani wa mahojiano wa PhD (Viva Voce) wa shahada ya Uzamivu (PhD) katika chuo cha St. Andrews nc...

Latest Post