22
Sasa Unaweza Kuweka Muziki Kwenye Whatsapp Status
WhatsApp imeweka feature mpya inayowaruhusu watumiaji wake kuweka wimbo wowote waupendao kwenye hadithi (status).Kwa kutumia feature hiyo mpya unaweza kuchaguwa kipande cha wi...
18
Tyla Msanii Bora Wa Dunia, Tuzo Za Iheart
Usiku wa kuamkia leo zimegawiwa Tuzo za Iheart Radio Music Award, zilizofanyika katika ukumbi wa Dolby Theatre, Los Angeles Marekani zikiongozwa na mshereheshaji LL Cool J. Hu...
18
Universal Music Wamkataa Drake Kuhusu Not Like Us
Universal Music Group imewasilisha ombi la kufutwa kwa kesi ya Drake dhidi yao ikihusisha wimbo wa 'Not Like Us' wakidai rapa huyo alishiriki majibizano ya nyimbo kwa hiari ya...
12
Kajala Katika Mafanikio Ya Mb Dogg
Hakuna ubishi kuwa MB Dogg ni miongoni mwa wasanii wachache wa Bongofleva ambao muziki wao ulitikisa vilivyo, ngoma zake zililia sana mitaani na kutawala chati karibia zote za...
09
Miaka Mitatu bila Muziki wa Koffee
MIAKA MITATU YA UKIMYA WA KOFFEE Ni miaka mitatu sasa imepita mashabiki wa muziki hawajapokea kazi yoyote kutoka kwa mkali Koffee ambaye ni mwimbaji, rapa na mpiga gitaa kutok...
06
Offset Apuuzia Msimamo Wa Lebo Yake
Rapa Offset amepanga kutumbuiza katika tamasha litakalo fanyika Moscow, nchini Urusi licha ya lebo inayomsimamia Universal Music kusitisha kufanya shughuli za muziki nchini hu...
06
Rushwa Ya Ngono Ilivyomnyima Tuzo Yemi Alade
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria, Yemi Alade amefunguka kuwa amekosa tuzo nyingi kutokana na kukataa kutoa rushwa ya ngono.Wakati alipokuwa kwenye moja ya mahojiano yake Yemi ...
04
Mitupio ya mastaa kwenye usiku wa Trace Music Awards
Kawaida tasnia ya muziki inaambatana na masuala ya fasheni na mitindo.  Na hii ni kutokana na mchango wa mwonekano katika katika kukuza brand ya msanii. Hii imejionesha k...
25
Diamond kutoana jasho na Burna Boy, Asake, Trace Music Award
Moja ya tukio ambalo linasubiriwa kwa hamu Zanzibar kisiwani Unguja ni ugawaji wa Tuzo za Trace ambazo zinatarajiwa kutolewa kesho Februari 26,2025.Tukio hilo ambalo lilianza ...
18
Dimpoz Kuirudisha Lebo Ya Pozi Kwa Pozi
Baada ya record lebo ya ‘Pozi Kwa Pozi’ (PKP) iliyokuwa chini ya msanii wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz kufanya vizuri miaka ya 2016 ikiwa na msanii wake Nedy Music, h...
26
2pac Kafa Kweli au Alifoji kifo
Watu wanadai kuwa kifo cha Tupac kilikuwa feki wakisema kuwa jamaa ilibidi afanye hivyo kwa sababu alikuwa anawindwa sana na maadui wakiwemo watu wake wa karibu pamoja na seri...
20
Kinachomtofautisha Chege na wengine
Mkali wa Bongo Fleva kutoka TMK Wanaume Family, Chege kwa miaka zaidi ya 20 ametengeneza nyimbo nyingi kubwa ndani ya kundi hilo na akiwa pekee yake akifanya kazi na wasanii w...
20
Amkataa mama yake ataka kuishi na Tyrese
Binti wa mwanamuziki na mwigizaji Tyrese Gibson, Shayla (18), amkataa mama yake aitwaye Norma Mitchell na kwenda kuishi kwa baba yake huku akishusha lawama kwa mama huyo.Katik...
20
Wakali hawa wanainyoosha Hip Hop kwa simulizi
Mtindo wa kusimulia visa na matukio kupitia muziki hasa wa Rap au Hip Hip uliteka hisia za wengi kipindi cha nyuma, jumbe za kuelimisha ndizo zilichukua nafasi kwa asilimia ku...

Latest Post