25
Konde Boy, mkopo hulipwa na mkopo
Chukua huku weka pale, chukua kule lipa hapa. Cha msingi wakopwaji wasijuane. Yes! Konde anadaiwa na benki kiasi cha kupelekana kwa pilato. Zaidi ya milioni mia, ni sehemu ya ...
20
Azam wainasa saini ya beki wa Mali
‘Klabu’ ya #AzamFC imefikia makubaliano na akademi ya Yeleen Olympique ya nchini Mali kwa ajili ya kumnunua mchezaji wa kimataifa wa nchi hiyo, Yoro Mamadou Diaby....
18
Aingia na maiti benki ili apate mkopo
Mwanamke mmoja kutoka nchini Brazil aitwaye, Érika de Souza Vieira ameshikiliwa na polisi baada ya kupeleka maiti ya mjomba wake Paulo Roberto Braga (68) benki ili kwen...
05
Mkopo wamtokea puani Chris Brown
Baada ya kukopa mkopo kwa ajili ya kununulia migahawa miwili ya Popeyes Chicken na kushindwa kulipa deni, sasa mwanamuziki Chris Brown ametakiwa kulipa deni hilo na mahakama j...
06
Sancho kurudi kwa mkopo Borussia Dortmund
‘Klabu’ ya Borussia Dortmund ipo kwenye mchakato ya kuwania saini ya nyota wake wa zamani Jadon Sancho anayeichezea Manchester United.#Sancho (23) amekuwa na wakat...
25
Chris Brown afikishwa mahakamani kwa kushindwa kulipa mkopo
Mwanamuziki Chris Brown anakabiliwa na mashitaka ya kushindwa kulipa mkopo wa dola 2 milioni alizokopa kwenye ‘benki’ ya City National . Katika mashitaka hayo amba...
12
Adaiwa kujiua kwa kunywa sumu kisa madeni
Veronika Peter mwenye umri wa miaka 46 mkazi wa Zanzibar anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu akidaiwa kuelemewa na madeni mengi ya mkopo yaliyomshinda kulipa. Kamanda wa Polisi M...

Latest Post