16
Chino na Marioo wamaliza bifu lao
Baada ya kuripotiwa kuwa na bifu miezi kadhaa iliyopita, hatimaye Chino, Marioo wameonekana pamoja na kumaliza tofauti zao. Wawili hao walionekana pamoja wakitumbuiza nyimbo a...
16
Katibu Basata akumbushia ugomvi wa Diamond na Rayvanny
Mwanamuziki Rayvanny tayari amewasili nchini kutoka Kenya ambapo alienda kwenye hafla ya utolewaji tuzo za East Africa Arts Entertainment Awards 2024 (EAEA) ambapo ameondoka n...
15
Walker kuingia uwanjani tena
‘Kocha’ wa #ManchesterCity, #PepGuardiola amedokeza kuwa mchezaji wao #KyleWalker anaweza kurudi uwanjani kwa ajili ya mchezo wao  wa ‘ligi ya Mabingwa ...
14
Mwanamitindo aliyewahi kumvalisha Jennifer Lopez afariki dunia
Aliyekuwa mwanamitindo maarufu nchini Italia, #RobertoCavalli mwenye umri wa miaka 83 maarufu kama ‘King of leopard print’ amefariki dunia jana Jumamosi. Cavalli a...
13
Tyrese amkumbuka Paul Walker
Mwigizaji na mwanamuziki wa R&B kutoka nchini Marekani Tyrese Gibson ameoneka kumkumbuka sana marehemu mwigizaji Paul Walker, hii ni baada ya kuangua kilio wakati alipolio...
08
Inter Milan mbioni kumnyakua Anthony
Tetesi zinadai kuwa klabu ya #InterMilan huwenda ikamchukua mchezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #AnthonyMartial baada ya mkataba wake kuisha ‘klabuni&r...
08
Mfahamu mbunifu wa bendera ya Marekani
Msemo wa 'Mwalimu wa mathe hapa ni wapi?', unaendana na stori ya Robert Heft, ambaye mwaka 1958 akiwa mwanafunzi mwenye umri wa miaka 17, alibuni bendera ya Marekani yenye nyo...
07
Yammi uvumilivu umemshinda, Amkumbusha nandy majukumu yake
Mwanamuziki wa #BongoFleva nchini #Yammi ambaye anafanya kazi chini ya lebo ya 'African Princess', ameonesha kuchoka kusubiri kutoa kazi mpya na kuamua kumkumbusha boss wake a...
04
Aliyepandikizwa figo ya nguruwe aruhusiwa
Mwanaume wa kwanza kupandikizwa figo ya nguruwe nchini Marekani aitwaye Richard Slayman (62) ameruhusiwa kutoka hospitali, baada ya kufanyiwa upasuaji wiki mbili zilizopita ka...
04
Cassie azidi kumkaanga Diddy
Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki wa Hip-hop Diddy, Cassie ameripotiwa kushirikiana na vyombo vya dola katika uchunguzi wa kesi ya biashara ya ngono inayomkabili Combs. Kwa muji...
03
Kufa kufaana, 50 Cent kuibeba mikoba ya Diddy
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani 50 Cent anatarajia kurithi mikoba ya Diddy baada ya kampuni ya vinywaji ya ‘Vodka Ciroc’ kumfuta ubarozi Combs. Kwa mujib...
02
Ray C awapa funzo wasanii Bongo
Mwanamziki Rehema Chalamila, maarufu kama Ray C ametoa fuzo kwa wasanii nchini Tanzania, kudumisha upendo ili kazi zao ziweze kufanya vizuri zaidi. Kupitia ukurasa wake wa mta...
28
Siku kama ya leo Smith alimchapa kofi Chris Rock
Tarehe na mwezi kama wa leo miaka miwili iliyopita dunia ilishuhudia kile kilichoitwa utovu wa nidhamu baada ya mwigizaji Will Smith kumchapa kofi mchekeshaji ambaye pia ni mw...
27
Jengo lililojengwa kwa zaidi ya miaka 140 kukamilika 2026
Jengo maarufu la Kanisa liitwalo ‘Basilica La Sagrada Familia’ lililopo jijini Barcelona nchini Uhispania linatarajiwa kukamilika rasmi mwaka 2026 baada ya kujengw...

Latest Post