20
Charlie Chaplin mkali wa kuchekesho bila kutumia maneno
Kutokana na maendeleo ya teknolojia ulimwengu unaendelea kufurahia kazi za Charlie Chaplin, msanii maarufu wa vichekesho aliyezaliwa Aprili 16, 1889 London, Uingereza, alijuli...
09
Mwongozo madaraja ya muziki Tanzania
Kanuni na miongozo ni jambo muhimu kwenye sekta yoyote kwa lengo la kuepusha upotoshaji na uvunjwaji wa kanuni na sheria iliyowekwa. Nchini Tanzania kumekuwa na malalamiko kut...
06
Maneno yaliyotumika kwenye kibango ya Lavalava yatolewa ufafanuzi
Baada ya wadau mbalimbali wa muziki Bongo kutafsiri vibaya baadhi ya maneno katika wimbo wa mwanamuziki Lavalava uitwao ‘Kibango’ kuwa hauna maadili kwenye maneno ...
16
Kajala: Maisha ni yangu mazishi ya kwenu
Mwigizaji wa Bongo movie #KajalaMasanja amewatolea povu watu wanaofuatilia na kutaka kumuharibia jina lake amedai kuwa maisha ni yake ila mazishi ni yao. Kajala ameyasema hayo...
28
Doja Cat amtolea maneno machafu baba yake
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Doja Cat ameripotiwa kumtolea maneno machafu baba yake mzazi hii ni baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na mzee wake huyo.Kupitia ukurasa...
13
Fahamu sababu maandishi ya Ambulance kugeuzwa
Watu wengi wamekuwa wakitamka neno ambulance au kuliona gari hilo la kubebea wagonjwa bila ya kugundua siri iliyopo katika uandishi wa neno ambulance, ambalo huandikwa mbele n...
31
Tems kuibukia kwenye uigizaji
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria #Tems ameweka wazi kuwa kwa siku za hivi karibuni ataingia katika #uigizaji. Kufuatia mahojiano yake hivi karibuni na #BBC Capital Xtra #Lon...
02
Fahyvanny: Kama mume wako hajakuchora tattoo pole
Mpenzi wa mwanamuziki #Rayvanny, #Fahyvanny awajia juu wanaotoa maneno baada ya Rayvanny kumchora tattoo mkononi. Fahyvanny amewataka watu kupunguza makasiriko huku akiwapa po...
27
Mchezaji Victor kuichukulia hatua ‘klabu’ ya Napoli kwa kumdhihaki
Mchezaji wa ‘timu’ ya taifa nchini Nigeria, Victor Osimhen, inadaiwa anampango wa kuchukua hatua za kisheria kutokana ...
13
Camera yamnasa Serena akibinua mdomo baada ya Chris Brown kutajwa Tuzo za MTV
Camera zamnasa Serina Gomez akibinua mdomo baada ya jina la Chris Brown kutajwa katika tuzo za MTV siku ya jana kwenye kipengele c...
11
Namna ya kupanga malengo ukiwa kazini
Hellow! I hope mko good watu wangu wa nguvu, haya sasa tunaamia upande wa pili naona katika suala la interview (usaili) tumemaliza sasa nawaomba wote tuhamie huku. Yaani natak...
01
Idriss akumbushia enzi za Kanumba na Ray
Muigizaji #idrissultan, ametia neno kuhusiana na tabia ya kurushiana maneno kwa wasanii wa #BongoFleva, huku akikumbushia enzi za Kanumba na Ray kuwa walikuwa wakitupiana mane...
07
Mabala: Maneno ya misimu lazima kurasimishwa
Wengi wetu tumesoma vitabu vya mwaandishi Richard Mabala lakini hakuna anaefahamu kuwa mwandishi huyu mwenye asili ya Uingereza kuwa ni Mtanzania alieitangaza kwa upana mkubwa...
23
Rayvanny na Paula watoleana maneno
Waswahili bwana hawakukoseaga walivyosema mkiachana muachane kwa wema ili hapo baadae msije kutoleana maneno mabaya mkawafaidisha waja, basi bwana vita nzito ya kutupiana mane...

Latest Post