07
Mama Kanumba ajitenga na filamu za mwanaye
Mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema tangu mwanaye afariki dunia hajawahi kuangalia filamu yake hata moja kwasababu zinamuumiza licha ya kuwa anazikubali kazi...
28
Tamasha la kuwakumbuka wasanii marehemu Septemba 7
Kwa mara ya kwanza nchini kutakuwa na tamasha la kuwakumbuka wasanii waliotangulia mbele ya haki linaloitwa ‘Faraja ya Tasnia’ liliandaliwa na mwigizaji na Mwenyek...
19
Ben: Kanumba angekuwa hai macho yote yangekuwa kwetu
Mwigizaji Ben wakati akifanya mahojiano na @mwananchiscoop amesema kuwa kwa sasa kuna baadhi ya stori ambazo anafikiria kama angekuwepo Kanumba angezifanya vizuri zaidi kuliko...
18
Ben afunguka kinachokwamisha Bongo movie, Amtaja Kanumba
Na Aisha Charles Waswahili husema vya kurithi vinazidi, hivi ndivyo naweza kumuelezea mwigizaji wa Bongo movie Abduli Ahmadi Salumu maarufu kama Ben au Selengo, ambaye naweza ...
26
Jina la kanumba bado linaishi
Wakati akiwa katika muendelezo wa ziara yake ya kuzunguka mataifa mbalimbali mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rayvanny akiwa South Africa amekutana na shabiki wa marehemu mwigizaji...
09
Lulu: Simlaumu mama Kanumba
Baada ya muigizaji Elizabeth Michael (Lulu) kuonekana kwenye video akiwa anasalimiana na mama yake marehemu Kanumba, na video hiyo kuonesha kuwafurahisha wafuasi wengi wa mita...
01
Idriss akumbushia enzi za Kanumba na Ray
Muigizaji #idrissultan, ametia neno kuhusiana na tabia ya kurushiana maneno kwa wasanii wa #BongoFleva, huku akikumbushia enzi za Kanumba na Ray kuwa walikuwa wakitupiana mane...

Latest Post